Toyota altezza inauzwa

niseme tu kwamba ubishi unaouleta hauna afya. Haujengi
Una afya kwa dalali asiye na uelewa, anaweza kujifunza mawili matatu ya branding kwenye dunia ya biashara. TOYOTA hawajasema gari yao imefungwa engine ya kampuni ya piki piki, huyu yeye anadhani YAMAHA ni selling point kwa gari ya TOYOTA. Mbona wenyewe wawili TOYOTA na YAMAHA hawakusema?

Ameitoa wapi hiyo taarifa? Amejuaje engine ya Alteza ni ya YAMAHA ?
 
Nashindwa nikupatie jina gani. Ni nani alikuambia yamaha ni kampuni ya pikipiki tu??
Yamaha ni kampuni inayotengeneza producta za aina mbalimbali, na ukatolewa mfano kuwa wanatengeneza hadi vinanda.
Yamaha anatengeneza engines kwa baadhi ya magari ya toyota, Ford na volvo
Unataka ueleweshwaje??
 
Mke wa huyu jamaa ana tabu sana
 
Wewe ni mgeni wa magari, Kwa mtu anayeijua altezza wala asingeuliza hili swali.

Wewe unajua kila gari duniani? Altezza sio gari ya rika langu, sikuwahi kulifuatilia.

Ndio nimelijua zaidi leo, kumbe linapiga makelele kwa kuwa lina engine ya kampuni ya amplifier za sauti, vinanda na piki piki.

Kitu ambacho, kama ni kweli ina engine ya piki piki, TOYOTA wenyewe hawaaniki hicho kitu hadharani.

Wanasema imetengenezwa na TOYOTA MOTOR CORPORATION. Kwishney!
 
Ukikua utaacha..
 
Hii post inachekesha...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwameh is the winner! Bravo ,bravo.mkuu acha kila mtu ajue anavyojua,utapasuka kichwa bure
Anhaaaa, okay basi nadhani tumeyamaliza ya Altezza na engine ya boda boda....

Na yule mwenye SUBARU yenye engine ya BOXER nadhani ameshaitoa sokoni, tuko salama mtaani sasa.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ aisee, uzi mtam sana
 
Dada habari. Nakushauri acha kuingilia majibizano ya wanaume. Utafumuliwa mitaro bure. Ogopa sana mwanaume akiwa na jazba.
[emoji23][emoji23][emoji23] hahahahhaaaaaaaaaa
 
Kuna watu hawataki mchezo. Muheshimiwa spark Bado anaugulia maumivu yaani amepigwa KO ya hatari.


Sema vijana tuwe na adabu tuheshimu shughuli za watu.
Inabidi tuheshimu mtazamo wako pia! Mimi nipo fiti mtanange uendelee!! Ila msije kulia lia apa na kutia huruma.
 
Uende ukatoe taarifa polisi ili wamtafute haraka Sana.
 
Mkuu asante kwa kunifumbua macho..kutishiwa maisha sio kitu cha mchezo! Kuna habari ya muuza chips nimeisikia kwenye vyombo vya habar..ngoja nichukue hatua!
Uende ukatoe taarifa polisi ili wamtafute haraka Sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…