Toyota altezza inauzwa

wewe bwana mdogo wacha kutishia watu, unataka kuaminisha watu kwamba namba za huyo dogo watu hawazifahamu? na watu wamdhuru kwa lipi labda, acha mambo yako wewe
Nimeshangaa sn sikutaka malumbano nae tu, dogo mwenyewe anapost namba zake kila mahali
 
NIONYESHE picha ya hiyo engine imeandikwa YAMAHA

Eti SUBARU ina engine ya BOXER

Mjepu afunge engine ya boda boda ya Mdosi ???
Usichokijua ni kitu kidogo sana,
YAMAHA ni kampuni kubwa, wanatengeneza injini za gari, wanatengeneza vifaa vya muziki, wanatengeneza injini za boti, wanatengeneza pikipiki, etc.

Ukijua hili hutohangaika kuwaza kua Injini ya Pikipiki ikawekwa kwenye gari
 

Mtu akikutengenezea engine hawezi kukubali iandikwe jina lingine.

YAMAHA wangetengeneza engine ya TOYOTA lazima wangeiandika YAMAHA!

ROLL'S ROYCE engine ya ndege ( sisi tunaita mabawa) hawakubali engine zao ziandikwe BOIENG. Zinapigwa chapa la ROLL'S ROYCE


Ndege BOEING
Mashine (bawa) ROLL'S ROYCE
Hakuna mkanganyiko.
 
We nae tumekuchoka mtu gani usiyeelewa kila unavyoeleweshwa? Haya basi imefungwa engine ya bodaboda
 
Haya basi imefungwa engine ya bodaboda
Serikali iwulike. Madalali mwende shule na mratibiwe.

SUBARU zinakuja na engine ya BOXER, piki piki ya Mhindi! Are you high?

We mwenyewe umeleta kidhibiti kinasema "produced by TOYOTA MOTOR CORPORATION"

Ndio maana nasema muswaada uje bungeni kwa hati ya dharura, madalali mwende shule!

 
Nimekuja kwenye huu uzi kufanya 'window shopping' ya Teza ila sasa nimeishia kuvunjika mbavu [emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa anayejiita dalali Jugo kadhamiria kunidhuru,kaweka namba zangu na picha zangu hapa,mpaka sasa nimepokea sim 5 za vitisho na matusi.Ukifatilia conversation yeye ndo kaanza kuniita mimi mpumbavu,nami nikampa haki yake..iweje yy akimbilie kupost mawasiliano yangu pamoja na picha zangu humu? Bila ridhaa yangu?! Angefanyiwa yy angeridhika?!Yote kwa yote yeye anamaguvu na kwel ameahidi kunifanyia kitu kibaya..mpaka sasa usalama wangu upo mikononi mwake,endapo nitadhurika atakua anahusika asilimia zote.
 
Lete hizo namba zilikutushia, acha kutishia watu na kutafuta huruma ww ni mpuuzi tu nimepost tangazo la kuuza gari kwann uanze kunitukana? Kilikukera nn mm kutangaza kuuza gari?
 
Naona hiyo post ya jamaa imekupa nguvu na kurudi hapa kutia huruma, ww ni mpuuzi tu sina muda wa kupoteza na ww. Lete hizo namba zilizokutishia, ww si ulisema utanitatua mm marinda sema upo wapi nije unitatue hayo marinda
 
Hapa ndio ulipoanza malumbano yasiyo na msingi, hata nikitaka cha udalali ww inakuhusu nn? Alafu unajijua muoga unachokoza watu wa nn?
 
Nilitaka kukuambia kua Rolls Royce wanatengeneza engine za ndege ila nilivyoona we mwenyewe umepost hivyo niseme tu kwamba ubishi unaouleta hauna afya. Haujengi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…