juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,228
- 7,555
Huo.mzigo ni hatari...pesa mingi....aisee watoto wamenifurahisha Sana hao
Huo.mzigo ni hatari...pesa mingi....aisee watoto wamenifurahisha Sana hao
Mkuu tuseme wewe ni teja wa hayo makitu?
Iweje mambo ya IT na cyber uyatolee mfano na kuyashusha hadhi namna hiyo kwa mifano ya kisengerenyuma ya kina J. Delicious?
Wengine hatutaki kushirikishwa dhambi hiyo kwa kuona hata kusikia.
Drive home your point kwamba it is ok TIGO kudukuliwa because it is insigficant as a company?Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa
2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa
Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.
Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;
Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.
So Tigo sio kampuni kubwa as you think
Mimi sijamwelewa kabisa jamaa it is like telling a poor guy not to be concerned if you got robbed! Anyway ndio watz tulivyo kujifanya wajuaji kumbe tunaishi kwa kukariri na ku compareHii haihalalishi Tigo Kudukuliwa
You mean kuwa na exposure na masuala ya ICT ni kutojua kuwa kudukuliwa ni uzembe? Ndio maana watu wanasoma Cyber Security.
Kigogo naskia kafaKigogo kazini
InahalalishaTigo kuwa hacked?Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa
2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa
Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.
Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;
Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.
So Tigo sio kampuni kubwa as you think
Worked with tigo once so i knw wht u r talking aboutKuna siku nilikaa siku Tatu nasubiri network irudi Akiba Cormecial Bank..
Siku Tatu...imagine that..
Niliwahi uliza why kuna bank network ni shida sana nikajibiwa hawataki kuajiri watu wa IT walioiva...na wakiajiri wanawalipa kidogo sana..
Sasa kampuni kama Tigo na voda Tz zinapenda mno cheap labour...
Lazima yawakumbe haya mambo
Tigo pesa inhusiana nini na website??Inamaana kwa sasaivi haturuhusiwi kutumia tigo pesa ama
Soma Comment nilishatolea Explanation;InahalalishaTigo kuwa hacked?
Nyie watu banaWangeipiga phishing wangekokota detais zetu zote za Tigo pesa. Afu wakakomba mkwanja wetu wote. Bora wamewafumua Tigo wenyewe.
U r totally wrong mkuuSoma Comment nilishatolea Explanation;
Mwingine alidukua KFC akijipa premium membership akawa anakula mabawa ya ndege na vibanzi kwa muda mrefu sanaJamaa alikula mshahara mwaka mzima.wakaja kumshtukia keshatoa na shavu.
Aiseehapana mkuu unaruhusiwa ila tuma kwenye namba hii 0713000800
Yaani now days ndio imekuwa style hiyo ni mwendo wa kudukuana tuHii kasi ikiendelea mbona ajira zitatolewa tu!
Duhh