Tovuti ya Tigo Tanzania yadukuliwa, wadukuzi wadai malipo (Ransom) ili waiachie

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Habari wanaJF,

Website ya Mtandao Mkubwa wa Mawasiliano wa Tigo Tanzania yadukuliwa na inaonekana wadukuzi wanadai Ransom ili waweze kuwaachia.

Shambulio hili limetekelezwa kwa kufunga encrypt taarifa zote na ili ziwe decrypted ni lazima kiasi cha fedha kilipwe. Hata hivyo hakuna uhakika kuwa hata mkilipa fedha basi tovuto itaachiwa, jamaa wanaweza kugeuza mtaji na wakawa wanawachezea kila wakati.

> Idara ya ICT ya Tigo ilikwama wapi? Ingawa shambulio linaweza kuwa limetekezwa kupitia kifaa kimoja wapo cha mfanyakazi.

> Elimu ya usalama wa kidigitali ni muhimu sana kwenye haya makampuni kuanzia ngazi ya juu hadi kwa wafanyakazi.

1597901286667.png


1597901582234.png


Hatimaye wakaamua kufunga tovuti kabisa:
F2E29429-2782-476B-B9D6-6692C4524DB8.png
 
Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa

2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa

Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.

Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;

Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.

So Tigo sio kampuni kubwa as you think
 
Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa
2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa

Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.

Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;

Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.

So Tigo sio kampuni kubwa as you think
Hii haihalalishi Tigo Kudukuliwa

You mean kuwa na exposure na masuala ya ICT ni kutojua kuwa kudukuliwa ni uzembe? Ndio maana watu wanasoma Cyber Security.
 
Kuna siku nilikaa siku Tatu nasubiri network irudi Akiba Cormecial Bank..
Siku Tatu...imagine that..


Niliwahi uliza why kuna bank network ni shida sana nikajibiwa hawataki kuajiri watu wa IT walioiva...na wakiajiri wanawalipa kidogo sana..


Sasa kampuni kama Tigo na voda Tz zinapenda mno cheap labour...
Lazima yawakumbe haya mambo
 
Hii haihalalishi Tigo Kudukuliwa
Sijakwambia kwamba Inahalalisha; Nimekwambia kusema Kampuni Kubwa kama Tigo inadukuliwa; Tigo kampuni bado ni ndogo; Hivyo Hata Vulnarabilities Assesment zake zinaweza kuwa na scope ndogo, Vitu vingine wakaamua Kutofanya Investment za kutosha ku-secure.

Statement umeitoa as if kwamba Tigo ni The Most Vulnerable Organization in The World, ambayo Hacker wanaisaka.
 
Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa
2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa

Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.

Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;

Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.

So Tigo sio kampuni kubwa as you think
Mbona JF haidukuliwili ? Kuna wanao dukuliwa kwa kuzidiwa na wanao dukuliwa kwa uzembe.. Tigo huo ni uzembe na sio kwamba wamezidiwa
 
Mbona JF haidukuliwili ? Kuna wanao dukuliwa kwa kuzidiwa na wanao dukuliwa kwa uzembe.. Tigo huo ni uzembe na sio kwamba wamezidiwa
Sasa Brother JF Taarifa zake sio potential Brother; Achana na hiyo Serikali Yenu huko Tz inayotaka kupata Taarifa za JF kwa maslahi yasio ya Kifedha.
Hack it Does Cost Money, Time Etc; Hizo kampuni nilizozitaja hapo juu, especially Ebay na Hertland zilikuwa na Information za Kifedha, na Most of Them zina Valid information, Names, Address Etc
Achana na Hii JF Ambayo watu wanatumia Fake ID, Fake Email; Ni Serikali yangu Tz tu ndo itangangania taarifa za Hivyo; Kumbuka JF sio Global Kiivyo Brother; huwezi fanya Comparison na FB, Insta, WhatsApp; So Kama naidharau no; Ila in Comparison to Potentiality kuvutia Serious Hacker bado iko low profile
 
Brother nadhani Huna exposure na Mambo ya ICT Worlwide; Tigo ni Kampuni Ndogo; Kuna Kampuni Kubwa Level ya Dunia Zilidukuliwa
2008 Kuna Kampuni ya Marekani inaitwa Hertland ilidukuliwa, Hii tena ilikuwa inashughulika na Payment System, Kulikuwa na Visa card za kutosha taarifa zilibebwa

Ebay Pia ilidukuliwa mwaka 2013 au 2014 SIna hakika Sana; Ila ilidukuliwa.

Ila Hata Linkedin tu, nayo Ilishadukuliwa, nakumbuka Mwaka 2012, Yahoo pia ilishawahi kudukuliwa hata miaka minne haijapita;

Hizo kampuni nilizokutajia, ni Biggest company ambazo zina High mechanism za Security kwenye mifumo yake; Review za Security kila baada ya Miezi 3.

So Tigo sio kampuni kubwa as you think
Hio haiwezi kuhalalisha udukuzi wa kampuni ya tigo, Hapo kuna uzembe na walio responsible lazima wawajibishwe, Wewe leo ukichapiwa mke utaanza kusema kuwa sio inshu kwa vile mastar kibao na watu mashuhuri pia wanachapiwa?
 
Sasa Brother JF Taarifa zake sio potential Brother; Achana na hiyo Serikali Yenu huko Tz inayotaka kupata Taarifa za JF kwa maslahi yasio ya Kifedha.
Hack it Does Cost Money, Time Etc; Hizo kampuni nilizozitaja hapo juu, especially Ebay na Hertland zilikuwa na Information za Kifedha, na Most of Them zina Valid information, Names, Address Etc
Achana na Hii JF Ambayo watu wanatumia Fake ID, Fake Email; Ni Serikali yangu Tz tu ndo itangangania taarifa za Hivyo; Kumbuka JF sio Global Kiivyo Brother; huwezi fanya Comparison na FB, Insta, WhatsApp; So Kama naidharau no; Ila in Comparison to Potentiality kuvutia Serious Hacker bado iko low profile
Sikatai mkuu. Ila Tigo kuwa hacked ni uzembe. Kuna company zinakuwa hacked kwasabau zimezidiwa , na zipo zinakuwa hacked kwasababu ya uzembe ndio kama hao Tigo.

Kwani hawa Tigo wana umarufu gani wa ku attrack hacker wakubwa kama zio uzembe na unakuta wamepigwa na wabongo tu humu.. mie binafsi nilikua nafanya sana Analysis ya hizi system hapo zamani..

Web nyingi zilikuwa taka taka kupindi cha nyumba.. baadhi yao wame improve kama CRDB na wengine neo tena kwa kutumia 3rd part. Jf sio maalumfu ila sio wazembe wabalinda maisha ya watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom