Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 25
Nashindwa kuelewa hivi ni computer yangu isiyoweza kufungua hii tovuti ya Chadema au kuna mchezo mchafu unaendea au labda imebadilishwa. Mwenye kuweza kuifungua tafadhali niambieni nifanye nini ili nami niweze kuifungua.