toto bovu balaa!

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
mama mmoja akiwa na mwanae anampa mazoezi ya kutembea:
mara anatokea mlevi huku akipepesuka kwa ulevi
mlevi:"haki ya nani sijawahi kuona toto baya kama hili tangu nizaliwe"
Baada ya mlevi kutokomea zake
Mama🙁huku akivuja machozi)
"uuuwi jamani nimetukanwa mie hapa hapa"
Mpita njia🙁huku akitoa kitambaa na ndizi mfukoni)"pole mama hiyo ndio dunia ilivyo,chukua hiki kitambaa ufute machozi,na hii ndizi ukape kanyani kako pole sana"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…