Tatizo unajua rede tu hujui mpira na hujui trend ya mpira! Crystal palace inashika mkia EPL hajamfunga mtu yoyote zaidi ya bingwa mtetezi Chelsea do you see that?Mna timu kabambe , kuanzia kocha hadi wachezaji na mnacheza ligi ya mabingwa , kama haitoshi mmemtandika mbabe Real Madrid kwa kipigo cha mbwa aliyekunywa maziwa ya mtoto , bao 3-1 , mnafungwaje na timu iliyochoka kuanzia kocha , wachezaji na mashabiki ?
Hii kwangu naihesabu kama hujuma dhidi ya Timu yenu , sijui kisa ni nini ? Siku zote timu nzuri ndio hushinda game , mnafungwaje na wachovu tena wenye mgogoro na wachezaji wao ambao wamegoma kusaini kutokana na ubovu wa Timu ya Arsenal , kwa hofu ya kuzika viwango vyao ?
Yes , I do .Tatizo unajua rede tu hujui mpira na hujui trend ya mpira! Crystal palace inashika mkia EPL hajamfunga mtu yoyote zaidi ya bingwa mtetezi Chelsea do you see that?
Bila shaka wewe utakuwa ni lishabiki la Liverpool vibonde wa Tottenham sasa roho imekuuma kuona gunners tume mkandamiza mbabe wako!! Pole sana kila mtu na mbabe wake.
Usisahau hii.
Tottenham 4-1 Liverpool
Arsenal 2-0 Tottenham.
Mpira hudunda Mkuu ushindi wa kwanza wa Arsenal dhidi ya Tottenham tangu 2014.
Taratibu basi mkuu .Wewe Ni Kiazi Kweli Kweli!!!! Tokea lini Spurs Akawa Mbabe Wa Liverpool??
Unajua Mara Ya Mwisho Spurs Kumfunga Liverpool Kabla Ya Msimu Huu ilikuwa Ni Mwaka Gani?
Kupenda Mpira 2017 kusikufanye uwe mropokaji...
Just Shu Up!
Povu hilo ss hatuelewi cha Mara ya mwisho tunakumbuka 4Wewe Ni Kiazi Kweli Kweli!!!! Tokea lini Spurs Akawa Mbabe Wa Liverpool??
Unajua Mara Ya Mwisho Spurs Kumfunga Liverpool Kabla Ya Msimu Huu ilikuwa Ni Mwaka Gani?
Kupenda Mpira 2017 kusikufanye uwe mropokaji...
Just Shu Up!
Jamaa nafikiri yuko IRONIC hapo. Ni mdau wa Arsenal huyo kama kumbukumbu zangu ziko sawa!Tatizo unajua rede tu hujui mpira na hujui trend ya mpira! Crystal palace inashika mkia EPL hajamfunga mtu yoyote zaidi ya bingwa mtetezi Chelsea do you see that?
Povu hilo ss hatuelewi cha Mara ya mwisho tunakumbuka 4
Kamanda usijali,ukiangalia magoli yote sio ya halali.Kuanzia ile faulo hadi la kuotea.Hata kocha wa Tot alisemaMna timu kabambe , kuanzia kocha hadi wachezaji na mnacheza ligi ya mabingwa , kama haitoshi mmemtandika mbabe Real Madrid kwa kipigo cha mbwa aliyekunywa maziwa ya mtoto , bao 3-1 , mnafungwaje na timu iliyochoka kuanzia kocha , wachezaji na mashabiki ?
Hii kwangu naihesabu kama hujuma dhidi ya Timu yenu , sijui kisa ni nini ? Siku zote timu nzuri ndio hushinda game , mnafungwaje na wachovu tena wenye mgogoro na wachezaji wao ambao wamegoma kusaini kutokana na ubovu wa Timu ya Arsenal , kwa hofu ya kuzika viwango vyao ?
Mkuu hapo mwishoni ulivyomaliza inasound kama "Hata Mange alisema". Tuko pamoja lakini.Kamanda usijali,ukiangalia magoli yote sio ya halali.Kuanzia ile faulo hadi la kuotea.Hata kocha wa Tot alisema
Utakaa hivyo hivyo na kuna wachezaji km couEndelea Kushangilia Netball! Mpita tuachie wenyewe, wewe sio fani yako...
WalewaleKamanda usijali,ukiangalia magoli yote sio ya halali.Kuanzia ile faulo hadi la kuotea.Hata kocha wa Tot alisema
Utakaa hivyo hivyo na kuna wachezaji km couJanuary hao wanaamsha zao utabaki na lovren na captain uchwara henderson
Nafikiria namna nzuri ya kukuzawadia!Maneno tu hata kwenye kanga yapo
Ngoj ss uone utashindana na barcaJanuary Labda uondoke Wewe Duniani! Lakini sio Coutinho Kuondoka Liverpool...
Huo uchawi wako utumie kuloga ili uende hata uropa next seasonJanuary Labda uondoke Wewe Duniani! Lakini sio Coutinho Kuondoka Liverpool...