Wamepiga mawili kabisa ambayo tunaweza kusema hawajabahatisha tena kipindi cha kwanzaArsenal haistahili kuifunga Totenham
Na timu ngumu .Ulitaka afungwe na nani?
Unaanzaje kumpa spurs ushindi mbela ya arsenal!? Hiyo hela bora ukacheze biko maana huko kuna probability kubwa ya kupatia zile namba kuliko spurs kumfunga arsenal tena Emirates.Kwa wale wazee wa kubet, kama hukuzipa timu kubwa za England aisee, hawakuwa makini.
Tot ni wazuri lakini leo sikuwapa nafasi kabisa ya kushinda hata draw.
Unaanzaje kumpa spurs ushindi mbela ya arsenal!? Hiyo hela bora ukacheze biko maana huko kuna probability kubwa ya kupatia zile namba kuliko spurs kumfunga arsenal tena Emirates.