Totally bored, application inaelekea kunishinda.
Nilifanya application mara ya kwanza lkn sikufanikiwa, sasa nilitaka kulog in inatakiwa username na password.
Password nmeisahau na ilitumwa km spam ktk email, nikienda kwenye spam msgs haipo kwn ishakuwa deleted automatically kwani spam msgs kumbe zinakaa siku 30 tu, kwa kweli nimekosa jibu.
Mwenye msaada pls kabla dirisha la NACTE halijafungwa.
Nilifanya application mara ya kwanza lkn sikufanikiwa, sasa nilitaka kulog in inatakiwa username na password.
Password nmeisahau na ilitumwa km spam ktk email, nikienda kwenye spam msgs haipo kwn ishakuwa deleted automatically kwani spam msgs kumbe zinakaa siku 30 tu, kwa kweli nimekosa jibu.
Mwenye msaada pls kabla dirisha la NACTE halijafungwa.