Edwine Suarez
Member
- Jan 30, 2012
- 13
- 1
Unahamu ya kutukanwa asubuhi asubuhi wewe!!! Chezea mutu ingine but siyo REjaO
Naomba Mungu upate ajali sasa hivi au hata ndugu yako....
Siyo kila kitu ni cha kushabikia!!!
Uongozi gani? ule unaochochoea mgomo ndio nina hamu wasagike sagike wote. Tukiwapoteza wachache kwa manuafaa ya wengi kutakuwa hamna kilichoharibika!Nilifikiri ungeomba uongozi wote wa juu upate ajali ili wafe tuchague viongozi wapya.
Mkuu, yote hayo ya nini! Hebu fikiria endapo jamaa wakiamua kuonekana wapo kazini halafu hawafanyi kazi. Hao ffu watafanya nini? Pinda atafanya nini? Mimi naona mgomo baridi una impact kubwa kuliko kuliko kitu chochote. Wao si wataangalia daftari la mahudhurio tu.
Jana PM alisema watafutwe madaktari kutoka sehemu mbalimbali wakatibu, hivi anajua impact yake? Fikiria daktari aliyemaliza degree yake miaka kumi na zaidi iliyopita halafu hakufanya kazi hospitalini (aliwekwa pale wizarani), leo hii tuaminishwe kwamba akatibu watu, hili si bomu?! Tujiulize, kwa kipindi cha miaka kumi, tumebadili dawa za malaria mara ngapi? Au, kabla ya kuanza kutibu watapata fresher couse. Lakini pia, hivi tuna wanajeshi wangapi maMD jamani? Au labda mkuu alimanisha madaktari wa sampuli gani.
Kwa mtazamo wangu, naona kuna mabaya zaidi yanafuata.......
Uongozi gani? ule unaochochoea mgomo ndio nina hamu wasagike sagike wote. Tukiwapoteza wachache kwa manuafaa ya wengi kutakuwa hamna kilichoharibika!
Tangulia wewe.Pata ajaliNaomba Mungu upate ajali sasa hivi au hata ndugu yako....
Siyo kila kitu ni cha kushabikia!!!
Aisee,Mkuu, yote hayo ya nini! Hebu fikiria endapo jamaa wakiamua kuonekana wapo kazini halafu hawafanyi kazi. Hao ffu watafanya nini? Pinda atafanya nini? Mimi naona mgomo baridi una impact kubwa kuliko kuliko kitu chochote. Wao si wataangalia daftari la mahudhurio tu.
Jana PM alisema watafutwe madaktari kutoka sehemu mbalimbali wakatibu, hivi anajua impact yake? Fikiria daktari aliyemaliza degree yake miaka kumi na zaidi iliyopita halafu hakufanya kazi hospitalini (aliwekwa pale wizarani), leo hii tuaminishwe kwamba akatibu watu, hili si bomu?! Tujiulize, kwa kipindi cha miaka kumi, tumebadili dawa za malaria mara ngapi? Au, kabla ya kuanza kutibu watapata fresher couse. Lakini pia, hivi tuna wanajeshi wangapi maMD jamani? Au labda mkuu alimanisha madaktari wa sampuli gani.
Kwa mtazamo wangu, naona kuna mabaya zaidi yanafuata.......
good one riwa,JackBauer taratibu....kuna m'bibi mmoja humu JF ataanza hedhi sasa hivi wakati ni post-menopause tangu loongi!
vERY GOOD HAPO NDO PENYEWE MPAKA SERIKALI
ITAKAPO WASIKILIZA SIO KUTUMIA MABAVU FFU
Naomba Mungu upate ajali sasa hivi au hata ndugu yako....
Siyo kila kitu ni cha kushabikia!!!
acha upumbavu wewe kama wapinda kwani haya mambo yametokea kama mafuliko au kimbunga, kwanini mlishindwa kuchukua tahadhali MNATAKA MUONEWE HURUMA PUMBAVU MAGAMBA NINYI!Pumbavu wewe,kama Mama yako angekuwa amelazwa,then madaktari wagome ungefurahii...Pimbi wewe,Serikari imekubali kukaa chini na kuongea nao,mwisho wa siku hawaji kutoa hoja zao,wanabaki kulia na Miti,hiyo ni akili au Ugolo...Usishabikie kitu cha Kipumbavu wewe..
hahaha mkuuu umenichekesha sana marubani wagome wa ndege zipi nchi hii mnandege kweli!na marubani nao wagome kusiwe na safari za india kwa viongozi,
Hapo kwenye Mungu weka Shetani. Tangu lini watu wa maruhani mkamjua Mungu?