Toshiba C660

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,446
6,311
wakuu natafuta drivers ya VGA, nimejaribu kudownload but nikifungua hazirun, natumia windows 7 32 Bit
 
wakuu natafuta drivers ya VGA, nimejaribu kudownload but nikifungua hazirun, natumia windows 7 32 Bit

Nenda kwenye device manager usome hardware specs za hiyo VGA card . itakuwa rahisi zaidi kuatafuta na kuzipata. VGA card zipo za aina na model nyingi. Inawezekana unatakiwa kupakua display driver za ATI au za Intel .

Au hizo ulizojaribu kufungua ni za VGA card model gani na umezipakua kutoka wapi?

Kama ni ATI pakua zipped file hili http://support1.toshiba-tro.de/tedd-files2/0/display-20110506114650.zip
Kama ni Intel pakua zipped file http://support1.toshiba-tro.de/tedd-files2/0/display-20101004160734.zip

Hayo na mengine unaweza kuyapata wenye tovuti ya
Toshiba

Kama tatizo ni ukifungua hazi run weka error message unayopata la sivyo unakosea kujua ni file gani unatakiwa kukimbiza (run ). Mara nyingi uk unzip hilo file tafuta executable file(.exe) libofye then fuata maelezo.
 
Thanx men, but nimejaribu kuzdownload zote mbili then nikajaribu kuzirun but nothing changes na hakuna error yyte inayotoka
 
Thanx men, but nimejaribu kuzdownload zote mbili then nikajaribu kuzirun but nothing changes na hakuna error yyte inayotoka
Ok Nimekusoma

Mkuu sidhani kama unatakiwa ku-run zote mbili . Ni one of them. lakini hilo sio tatizo.......

Ulichofanya wewe so far si ku-run bali ni kuextract file. Soma vizuri kila unchoclik. Hicho unasema ume run kipo location fulani . Na hapa naona hizo driver zinakwenda kuwekwa kwenye C:/dcument and setting / USer name/ Local setting/temp

Sasa hapo wenye temp folder kuna file litakuwa linaitwa TCXXXXXXXXXX.tmp Fungua hilo folder ndani yake kuna file la installer lnaitwa setup .exe. Sasa ukibofya hilo setup.exe ndio llitainstall drivers kwa kufuata guidelines za installtion wizard

Altenatively unaweza kutumia search utility kutafuta file linaitwa
TCXXXXXXXXXX.tmp kwenye komppyuta yako . Utaliona lipo kwenye path niliyotaja pale juu. ndani yake bofya file la setup.exe

NB
Kwenye window 7 temp folder lipo
C:\Users\<username>\AppData\Local\Temp . Ile path ya juu inaweza kukupotosha sabbau mashine nayotumia hapa ni XP. Lakini ukisoma path na maelekezo wakati ina extract itakuambia limehifadhiwa wapi.


Karibu tena JF technology

 
Thanx much kaka naanza kupata mwanga, nimejaribu kutafuta ilo folder cjaliona kwenye c. But nimerun tena zile zip but this time nimedirect zikae kwenye desktop sio kwenye C. Ilipomaliza kurun zimekuja file kibao kwenye desktop na moja ni file la kurun. So nimerun lile file ikaja wizad ambayo bfr ilikuwa haiji kabisa. Nimefata step zote mpaka nimefinish but nikirestart NO ANY CHANGES help pls this is my number 0688 282403 ring me then i will call back
 
Thanx much kaka naanza kupata mwanga, nimejaribu kutafuta ilo folder cjaliona kwenye c. But nimerun tena zile zip but this time nimedirect zikae kwenye desktop sio kwenye C. Ilipomaliza kurun zimekuja file kibao kwenye desktop na moja ni file la kurun. So nimerun lile file ikaja wizad ambayo bfr ilikuwa haiji kabisa. Nimefata step zote mpaka nimefinish but nikirestart NO ANY CHANGES help pls this is my number 0688 282403 ring me then i will call back

HP lets finish it here. It might hel others ikiwa kwenye record za maandishi hapa JF .... ukikwama zaidi tutawasiliana but so far naona kazi iliyobaki ni ndogo.......

NO ANY CHANGES


Kwanza huoni changes sababu tulikuwa tunabahtisha . U re not certain or sure kujua ni model gani ya VGA card iko kwenye mashine yako. hiyo ya kwanza haijaleta changes sababu kama iikuwa ni driver ya ATI means kompyuta yako ina VGA ya Intel na kama ilikuwa ni ya Intel means kompyuta yako ina VGA ya ATI.

So endelea kujaribu kwa kufanya the same kwa kuisntll another file. Depending on wich one u tried first now go and try the second .


One of them should work. ingawa kwenye site ya toshiba drivers ziko tatu kati ya INTEL na ATI one should work. Hope umenielewa


Unaweza vile vile kujribu kufanya manually

Hapo kwenye desktop tafuta folder lintwa packages. Ndani yake una folder lintwa drivers. ndani yake kuna folder la display na ndani kuna folder mawili mjawapo ni W7_INF So driver mara nyingi zinatafuta file lenye extension ya .inf. kwa windows 32 driver hapa itakiwa ni CW112983.inf

So how?
1.
Nenda Start and right-click on Computers and chagua Manage. This will bring the Computer Management window, now on the left sidebar select Device Manager as shown in the screenshot
devicemanager.jpg

2.
Sasa , chagua the device tunayodiili nayo. kwa issue yako ni Display . Chagua Display Adapters and right click on your card's name(In my case it is Nvidia Geforce 9600GT. Hapa ndipo nilikuwa nakuuliza VGA card yako ni aina gani . Jibu utalipata hapa ni ATI au Intel na litapunguza bahatsha bahatisha ) and finally click Update Driver Software as shown in the screenshot below.

updatedriversoftware.jpg


3.
Ukichagua Update driver italeta kidirisha kama inavyooshe hapa chini

searchfordriver.jpg

4.
Una option mbili. chagua Browse my computer for driver software.. Then utaona kidirish kingne kama picha chini invyoonyesha

browsefordriver.jpg


Bofya Browse na tafuta path lilipo lile file la . inf ( destop/packages/drivers/Display/w7_inf/CW112983.inf .Then bofya next. Hapo utauwa umesimia driver manually

NB.
 
hakikisha una bandle ya kutosha, ni vizuri ukatumia internet ya vodacom kwsababu iko fast

fuata hizi steps
1-properties my computer
2-device manager, baada ya kufunguka
3-rightclick display adapters
4- update drivers software
isubiri mpaka imalize itakuletea option ya ku restart then enjoy
 
hakikisha una bandle ya kutosha, ni vizuri ukatumia internet ya vodacom kwsababu iko fast

fuata hizi steps
1-properties my computer
2-device manager, baada ya kufunguka
3-rightclick display adapters
4- update drivers software
isubiri mpaka imalize itakuletea option ya ku restart then enjoy
TUMIA HII NJIA FAST AND EASY JIONI HII HII NIMETOKA PIGA
WINDOW PC KAMA YAKO HII NDO OPTION NILIOTUMIA!! driver software yake ni kama 150 mb hv so weka bundle isio chini ya 200mb nahakikisha haidisconect ghafla maana hii haina kuresume any intereptions bundle yako inalwa
 
Nikirun kwa AT inarun mpaka mwisho but no any changes na kwa inter inaleta this error THIS COMPUTER DOES NOT MEET THE MINIMUM REQUIREMENTS FOR INSTALLING THE SOFTWARE
 
Nikirun kwa AT inarun mpaka mwisho but no any changes na kwa inter inaleta this error THIS COMPUTER DOES NOT MEET THE MINIMUM REQUIREMENTS FOR INSTALLING THE SOFTWARE

Hp..... ebu jaribu na hii http://support1.toshiba-tro.de/tedd-files2/0/display-20101005155237.zip.


Ikigoma ebu cheki vizuri maelezo ya picha niliyokuweka pale juu angalia sehemu hatua ya Pili. Jaribu kusoma specs za display adapter yako . kutakuwa na ATI............... . Na je unaona alama ya njano?

Au vipi kama unaweza kunitrust na Laptop yako haina confidential doc install hii software ya
Teamviewer alafu nitumie detail ya number ya siri ya mawasiliano kwenye PM ili nicheki kwa kui access. laptop yako moja kwa moja. Yes tujaribu remote acess
 
Hp..... ebu jaribu na hii http://support1.toshiba-tro.de/tedd-files2/0/display-20101005155237.zip.


Ikigoma ebu cheki vizuri maelezo ya picha niliyokuweka pale juu angalia sehemu hatua ya Pili. Jaribu kusoma specs za display adapter yako . kutakuwa na ATI............... . Na je unaona alama ya njano?

Au vipi kama unaweza kunitrust na Laptop yako haina confidential doc install hii software ya
Teamviewer alafu nitumie detail ya number ya siri ya mawasiliano kwenye PM ili nicheki kwa kui access. laptop yako moja kwa moja. Yes tujaribu remote acess

Maybe t help out a little mkuu laptop yake video card inarun na intel
 
Maybe t help out a little mkuu laptop yake video card inarun na intel
Kwenye st yovuti ya toshiba kuna driver tatu za VGA za mashne yake. Na kwenye comment yake No 11 anasema akirun driver ya Intel inatoa error. Airun ya ATi inamaliza lakini haoni mabadliko......

Na hiyo ya tatu niliyoweka ni ya Intel
That tell me kuwa ni ATI ( tough tunabahatisha) lakini inngepedeza yeye mwenyewe asome kwenye device manager atuambie specifc inasomekaje. is it ATI ai Intel.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom