wakuu natafuta drivers ya VGA, nimejaribu kudownload but nikifungua hazirun, natumia windows 7 32 Bit
Ok NimekusomaThanx men, but nimejaribu kuzdownload zote mbili then nikajaribu kuzirun but nothing changes na hakuna error yyte inayotoka
Thanx much kaka naanza kupata mwanga, nimejaribu kutafuta ilo folder cjaliona kwenye c. But nimerun tena zile zip but this time nimedirect zikae kwenye desktop sio kwenye C. Ilipomaliza kurun zimekuja file kibao kwenye desktop na moja ni file la kurun. So nimerun lile file ikaja wizad ambayo bfr ilikuwa haiji kabisa. Nimefata step zote mpaka nimefinish but nikirestart NO ANY CHANGES help pls this is my number 0688 282403 ring me then i will call back
wakuu natafuta drivers ya VGA, nimejaribu kudownload but nikifungua hazirun, natumia windows 7 32 Bit
TUMIA HII NJIA FAST AND EASY JIONI HII HII NIMETOKA PIGAhakikisha una bandle ya kutosha, ni vizuri ukatumia internet ya vodacom kwsababu iko fast
fuata hizi steps
1-properties my computer
2-device manager, baada ya kufunguka
3-rightclick display adapters
4- update drivers software
isubiri mpaka imalize itakuletea option ya ku restart then enjoy
Nikirun kwa AT inarun mpaka mwisho but no any changes na kwa inter inaleta this error THIS COMPUTER DOES NOT MEET THE MINIMUM REQUIREMENTS FOR INSTALLING THE SOFTWARE
Hp..... ebu jaribu na hii http://support1.toshiba-tro.de/tedd-files2/0/display-20101005155237.zip.
Ikigoma ebu cheki vizuri maelezo ya picha niliyokuweka pale juu angalia sehemu hatua ya Pili. Jaribu kusoma specs za display adapter yako . kutakuwa na ATI............... . Na je unaona alama ya njano?
Au vipi kama unaweza kunitrust na Laptop yako haina confidential doc install hii software ya Teamviewer alafu nitumie detail ya number ya siri ya mawasiliano kwenye PM ili nicheki kwa kui access. laptop yako moja kwa moja. Yes tujaribu remote acess
Kwenye st yovuti ya toshiba kuna driver tatu za VGA za mashne yake. Na kwenye comment yake No 11 anasema akirun driver ya Intel inatoa error. Airun ya ATi inamaliza lakini haoni mabadliko......Maybe t help out a little mkuu laptop yake video card inarun na intel