Top teni (10) ya watu maskini Tanzania.

Top teni (10) ya watu maskini Tanzania.

Tawile mkuu na kukulia ikulu ya museveni mkuu na wewe unajiita apeche alololo!, na mimi niliokulia Tandale kwa mfuga mbwa baba yangu akiwa mzee Juma Firigisizapaka si nitakuwa kwenye list ya watu ambao maisha yamewafirimba zaidi sasa..

Aliyekuambia Kukaa jirani na Choo ndiyo tiketi ya Kunuka Mavi nani?
 
Huwezi kupata takwimu ya mtu masikini ila unaweza kupata tabaka la watu masikini na wanapimwa kwa vigezo mbalimbali mfano

1.wasioweza kupata hata mlo mmoja kwa siku
2.wasio na makazi na malazi
3.walio nyuma zaidi kuendana na maendeleo ya teknolojia
4.wasio na uwezo wa kupambana na majanga mbalimbali mfano matetemeko ya ardhi, mafuriko n.k.
5.wasio na huduma muhimu kama maji safi na salama, choo, umeme, huduma za afya n.k.
6.wasio na vyanzo vyovyote vya kuweza kuingiza kipato (tegemezi) hapa inawahusisha ombaomba
7.Baadhi ya makundi maalumu mfano watoto wa mitaani, malaya wanaojiuza n.k.

Zipo sababu nyingi ambao hutumika kupima umasikini na hutofautiana kutoka eneo na eneo au mtu na mtu kiasi kwamba sio rahisi kupata mtu specific kuwa ni masikini au top 10 ya watu masikini...Vipimo huwa vinatumika kwa ngazi ya jamii na Nchi.
Umejibu kisomi kabisa mkuu, kuna wapumbavu wao ni kukurupuka na kuanza kutukana tu bila ya kujihoji.


Hongera zako, hivyo ndivyo nilikuwa nikitarajia msomi wa jamii forum anijibu.
 
Wakuu kama ilivyo kawaida, Forbes wamekuwa wakitoa takwimu za watu matajiri nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania.


Lakini Forbes hao sijiwahi sikia wanatoa takwimu za watu maskini kabisa Tanzania kwa kuwataja kwa majina yao.


Hivyo, mwenye takwimu za watu maskini nchini anisaidie.


Weka chanzo cha hizo takwimu.
Labda umuulize JPM yeye ndiye huwa anatangaza kuwa ni rais wa wanyonge na masikini wa nchi hii na ndio anasema waliomchagua
 
Masikini kumgundua ni kazi ngumu kuliko tajiri ...maisha2 yanajionesha ndo unajikuta umewekwa kwenye list ....lakin kumjua kua huyu ndo masikini ni ishu
 
yani we jamaa kila ninaposoma comments zako najikuta na soma kwa ukali alaf nimekunja sura yan automatically tu sababu ya avatar yako hiyo kweli ni king kong
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀.
 
Back
Top Bottom