Top 4 EPL 2020/2021

Top 4 EPL 2020/2021

1. Man city
2. Chelsea
3. Man united
4. Liverpool
5. Tottenham
6. Arsenal
 
Huyo liverpool nafasi ya nne ataitafta kwa tochi

Wametumia misimu minne kwa nguvu kubwa sana wachezaji wao wamechoka na walivobeba ubingwa tambua timu zote 19 zinaenda kwa kuwa pania wao

Mf ni spurs ya msimu uliopita ilivkuwa mbovu sababu wametumia misimu mnne kwa nguvu sana
Wana kikosi kipana kizuri cha ushindi.
 
Michango ya wachangiaji walio wengi imeongozwa na mapenzi ya timu husika badala ya kuangalia mambo ya ufundi.
 
Kwa ile game ya ufunguzi na kama kweli Arsenal wataweza kukaza mpaka mwisho, msimu unaokaribia kuanza unaweza kuwa wao bila shaka. Liverpool ameonesha kuchoka kwenye ile game.

Hawa wengine, sijui City na wenzake, tuje tuwapime kwa angalau game 10 za kwanza za ligi...na nirejee maneno ya Lex, "Mpaka kufikia 25th Dec, bingwa atakuwa keshajulikana", akipenda sana kusema hivyo miaka ile kisha kukamilisha na neno "Thank you" akiwa kakabidhiwa mic pale Theatre of dreams. Soccer kama mchezo wa ngumi, uko mbioni kupoteza ladha yake aisee, nikiikumbuka WC 1998, siuoni mpira mkubwa tena kama ule.
 
1.Chelsea
2. Tottenham
3.Liverpool
4. Man city

Lampard atawaduwaza watu......spurs na liver watatie KWA points.....united fans just lower ur expectations....comeback zisiwape uchizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom