Top 30 most powerful military powers 2018

Top 30 most powerful military powers 2018

Ukichukua ile military budget ya zile top 10 yaaani
$$(Egypt 4.4 + Germany 39.2 + Turkey 8.2 + Japan 43.8 + UK 45.7 + France 35 + India 51 + China 161 + Russia) = $432.9
Yaani uki combine nchi zote izo bado budget yake haifikii baba lao Uncle Sam $587
 
Ukichukua ile military budget ya zile top 10 yaaani
$$(Egypt 4.4 + Germany 39.2 + Turkey 8.2 + Japan 43.8 + UK 45.7 + France 35 + India 51 + China 161 + Russia) = $432.9
Yaani uki combine nchi zote izo bado budget yake haifikii baba lao Uncle Sam $587
Ndo N.Korea apambane na huyo!!!!!...bac 2 kasarenda mapema
 
Military budget sio issue,
marekani lazima iwe na bajeti kubwa kwasababu ya operations zinazofanyika kwani zinatumika pesa,mfano kuweka base moja tu nje kwa miaka nenda rudi,ni gharama sana,
sasa marekani wanabase karibu 500 duniani,zinahitaji pesa zote hizo na huko ndso mabilioni yanakotomea,
huwezi linganisha na china ,ambae ana base moja tu,kwahiyo pesa zake zinaenda sana katika research na weapons developments,
ndo maana china wanavyafua manowari na ndege za kivita kama wanaduplicate,maana pesa haina matumizi mengi ya kuhudumia bases sehemu mbalimbali
 
Hawezekaani Israel iwe ya 15 mkuu. Otherwise kama umeshirikiana na twaweza
hahaha kwakweli na promo zao zote zile ....daahh"" sema Jamaa huwaga wanapewa back up na USA ....
 
Hii list itakuwa ya uongo mbona sisi hatumo?
 
Sikuwa kujua kama Misri anamiliki Aircraft Carrier. Asante kwa kinijuza. Je hizi alinunua kwa Marekani au?
 
Ana shindwa angekuwa anaweza bwana yule huwa hachelewi
Mkuu hata we we mwenyewe ukifkiria tu unadhani kiduku anauwezo wa kumpiga marekani??

U.S.A ni ishu nyingine mzee,ndo baba lao
 
Hii mambo ya kumwaga pesa ndefu kwenye jeshi bila mechi ni bure naomba umoja wa taifa uangalie uwezekano wa kuwa na vita za kirafiki.
 
Kwa hiyo jeshi la Israel limepitwa na jeshi la.nchi kama Pakstani na Egypt!! Duuh!!
Hapo wanaongelea tu "Potentiality" as opposed to "Combat Capability", ambapo inapokuja kwenye uhalisia inaweza kuwa "A different ball game", na hapo ndipo mataifa kama UK, Israel France, Japan nk zinapokuwa balaa.
 
Military budget sio issue,
marekani lazima iwe na bajeti kubwa kwasababu ya operations zinazofanyika kwani zinatumika pesa,mfano kuweka base moja tu nje kwa miaka nenda rudi,ni gharama sana,
sasa marekani wanabase karibu 500 duniani,zinahitaji pesa zote hizo na huko ndso mabilioni yanakotomea,
huwezi linganisha na china ,ambae ana base moja tu,kwahiyo pesa zake zinaenda sana katika research na weapons developments,
ndo maana china wanavyafua manowari na ndege za kivita kama wanaduplicate,maana pesa haina matumizi mengi ya kuhudumia bases sehemu mbalimbali
Base ni nini?
 
Back
Top Bottom