Wale wezi tuuDuh una darubini kali
Ushachunguza PM yangu nini
Teh teh teheeee!!Kuna zoba kasema et sisi ni MTU m1 ila IG tofauti hebu mquote umpe mnyoosho
Hahahaa seems kuna watu wanakuboa sana,hao kina fulani siwajui boss...hongera lakini kwa kuwa star wa jf,tuwakilishe vyema...Mbona kwa akina Fulani huendi kuulizaga ?
MAKAPUKU wote oyeeeee
Nipeni ustar wa JF
Nilishawahi kuuliza kitambi tu
Profile lako linaonyesha upoupo tu
tangu 2012 posts kiduchu so we ni kapuku mwenzetu
Watu kama tunawapetozea tuLinyooshe hilo zoba...liende pia kwenye list ya wakongwe akaseme hivyo aone
Mkongwe ni member wa muda mrefu JF........mfano Mimi kufikisga post 10000 fastfasra haiwezi kunifanya niitwe mkongwe
Ipo siku utatajwa!!!Mm sijatajwa