nitakuongezea na kitimotoHongera kwa majungu....ukimaliza kutoa povu nitakununulia japo kafanta
Pole sana
Mkuu mbona ni kishakushukuru..au umesahau
Bitoz lakini hana mademuNawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu JF wenye:
Most posts
Most likes
Most points
1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
******************
11/ribii
12/Bansen burner
13/chosen generation
SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni !!!!!!
Jokes ;
Phillipo Bukilo verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name ur name is?
Barbarosa Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton hujavumbua ht kishada
Bansen burner halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru mbona hutoi habari za makapuku
Leo nina bahati nawe sijui ni kwa vile nilikuota?Ha ha ha ha
Hii post nayo itapotezewa tu na Wakongwe wa JF
bitoz naona unakimbizana na lundo la likes..mda mfupi nawe ni mkongweWaje tu tuwanyooshe bila huruma
Tushashiba supu ya makwasukwasu tupo fit !!!
Kama wewe una ID nyingi sio Kila MTU yupo hivyo. Endelea kuotaunaweza kuta ni mtu mmoja hapo na mi ID kibao
Labda, ngoja tuone asee!!Kaclick link labda upo TOP 50
Tayari nimemuona. Boya tu huyoKuna zoba kasema et sisi ni MTU m1 ila IG tofauti hebu mquote umpe mnyoosho