Top 10 armies in the world 2011-2015

Sikujua China ipo juu ya America.
safi sana Russia.
Mkuu Baada ya Urusi inayofuatia kwa nguvu duniani ni Mchina halafu ndio M-Marekani. Marekani amebaki ni jina tu hakuna kitu Hali yao ya kiuchumi imeanguka hakuna kitu amerika kumebaki Magora yanayofikia karibu na mbingu na Mabarabara mazuri basi hakuni jipya Amerika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom