nipo hapa chuo cha mipango dom nimeona vurugu kubwa zikifanywa na vijana wa ccm baada ya waandishi wa habari kua na press conference na baadhi ya wanachama wa ccm waliokuwa wakilalamikia uchaguzi ulivyofanyika,vurugu hizo zimefanywa na vijana wanaodaiwa kutoka kambi ya lowasa ambao walikuwa wanapinga hakukukwa na rushwa wakati vijana wengine walioshindwa kwa pesa kama Ahmed Nyanganyi na wenzake walikuwa wanalalamika kua BEN MALISA,MH NYALANDU,FRED LOWASSA NA RIDHIWANI,walikuwa wanagawa pesa kama njugu wakati uchaguzi ukiendelea kila mtu akiwa anawakilisha kundi lake hata hivyo cha kushangaza matokeo tiyari yameshavuja kabla hata hayajatangazwa rasmi huku ikisemekana mh SADIF JUMA KHAMIS ameshinda uenyekiti wa uvccm na MBONE MHITA,akishinda umakamu wa uvccm,pia kuna vijana toka kanda ya ziwa wanajiandaa kwa maandamano kwenda ikulu ndogo hapa dom kwenda kumpelekea barua ya malalamiko ya uchaguzi wakitaka kumshinikiza mh rais ayatengue haya matokeo;SOURCE;mimi mwenyewe niko eneo la tukio