KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Breaking News
Uchaguzi wa UVCCM unaoendelea huko Dodoma umetawala vimbwanga watu wanatoa Rushwa kama ni agizo la chama!!Vijana wa vigogo wamemwaga mshiko sana na hawaogopi Takukuru!!!
================UPDATE==============
Vijana wa EL kwa kupitia kwa Bashe wamepeta!!Mgombea wa Riz aanguka waliowengi ni wa Bashe kwa maana hiyo nikwamba Edward Lowassa kuwa Rais 2015 nimkuwa zaidi!
Uchaguzi wa UVCCM unaoendelea huko Dodoma umetawala vimbwanga watu wanatoa Rushwa kama ni agizo la chama!!Vijana wa vigogo wamemwaga mshiko sana na hawaogopi Takukuru!!!
================UPDATE==============
Vijana wa EL kwa kupitia kwa Bashe wamepeta!!Mgombea wa Riz aanguka waliowengi ni wa Bashe kwa maana hiyo nikwamba Edward Lowassa kuwa Rais 2015 nimkuwa zaidi!
chanzo TBC1
wanadai uchaguzi uligubikwa na Rushwa. wanataka urudiwe. wanakataa uongozi mpya
Ilifika mahali wana uvccm walikuwa hawataki kuona na kusoma sifa za wagombea wao kupitia vipeperushi na wengine walitamka bayana kwamba hawataki vipeperushi ila vipeperushwa.
Walioko Dodoma tunaomba habari zaidi.
chanzo TBC1
wanadai uchaguzi uligubikwa na Rushwa. wanataka urudiwe. wanakataa uongozi mpya
Ilifika mahali wana uvccm walikuwa hawataki kuona na kusoma sifa za wagombea wao kupitia vipeperushi na wengine walitamka bayana kwamba hawataki vipeperushi ila vipeperushwa.
Walioko Dodoma tunaomba habari zaidi.
nipo hapa chuo cha mipango dom nimeona vurugu kubwa zikifanywa na vijana wa ccm baada ya waandishi wa habari kua na press conference na baadhi ya wanachama wa ccm waliokuwa wakilalamikia uchaguzi ulivyofanyika,vurugu hizo zimefanywa na vijana wanaodaiwa kutoka kambi ya lowasa ambao walikuwa wanapinga hakukukwa na rushwa wakati vijana wengine walioshindwa kwa pesa kama Ahmed Nyanganyi na wenzake walikuwa wanalalamika kua BEN MALISA,MH NYALANDU,FRED LOWASSA NA RIDHIWANI,walikuwa wanagawa pesa kama njugu wakati uchaguzi ukiendelea kila mtu akiwa anawakilisha kundi lake hata hivyo cha kushangaza matokeo tiyari yameshavuja kabla hata hayajatangazwa rasmi huku ikisemekana mh SADIF JUMA KHAMIS ameshinda uenyekiti wa uvccm na MBONE MHITA,akishinda umakamu wa uvccm,pia kuna vijana toka kanda ya ziwa wanajiandaa kwa maandamano kwenda ikulu ndogo hapa dom kwenda kumpelekea barua ya malalamiko ya uchaguzi wakitaka kumshinikiza mh rais ayatengue haya matokeo;SOURCE;mimi mwenyewe niko eneo la tukio