Breaking News
Uchaguzi wa UVCCM unaoendelea huko Dodoma umetawala vimbwanga watu wanatoa Rushwa kama ni agizo la chama!!Vijana wa vigogo wamemwaga mshiko sana na hawaogopi Takukuru!!!
CCM ni chama cha kifisadi si chama cha wafanyakazi na wakulima tena! Hawawezi kuogopa takukuru kwa sababu takukuru si taasisi huru, ni taasisi yao