Too Much Vizinga,hadi hamu ya kumpigiaga simu inaniisha

Too Much Vizinga,hadi hamu ya kumpigiaga simu inaniisha

Tena ukipenda wanachuo ndio balaa zaidi,vizinga vya mavazi,chakula,vipodozi,simu na laptop ni vyakufikia tu.Bila pesa hapendwi mtu
 
Kama yeye anakupaga papuchi wakati mwingine bila hata kuomba kwann nawewe usiwe unampa hela bila ya yeye kuomba?
 
Mwanzo no Vizinga,
Naniliu ruksa.
Sasa, Vizinga havikauki,
Labda ulikuwa hufanyi sawasawa kitandani akiomba kukunwa. Kwahiyo ameshapata ambae anamfikisha vizuri mlimani,
Na huo ni mpango mkakati wa kukufukuza.
Uwe mwangalifu asikutangulie ukawa hujajia daa, utapata tabu.
 
Kuna wanawake wanapiga vizinga mpaka kero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
.
IMG_20190514_143858_478.jpeg
 
Back
Top Bottom