Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 455
- 1,730
Nimekua na huyu binti tangu mwezi March mwanzoni mwaka huu 2019
Sio mgumu kunipa papuchi na wakati mwingine yeye mwenyewe ndo huwa ananishtua "baby mi nna nyege nakuja unitie"
Kiumri ana miaka 20 ila ana mtoto mmoja,mwanzoni naanza nae mahusiano aliniambia yeye sio kama wasichana wengine wanaopenda penda kuomba omba hela nikamwambia basi vizuri
Kikukweli Mimi nilikua nampa hela pasipo kuniomba,ila baada ya kupita pasaka akaanza vizinga daily
Kwanza alitaka niende nae club siku ya pasaka nikamwambia Mimi sio mtu wa club ,wee nenda tu na wenzako
Baada ya muda binti amekua mpiga vizinga hadi kero
Yani hata ile mood ya kumwita nimpige mkuyati inaisha siku hadi siku
Kila nikimtafuta lazima mwisho apige kizinga hadi imekua kero
Sometimes hanitafuti kwenye simu mi nikimtafuta lazima ataingizia kizinga,sio kwamba nashindwa kumpa ila ile tabia yake kwamba kila tukiwasiliana anachomea suala LA hela inanitibua sana
Na sijampenda kivile,namtafutia timing nimpige chini
Wadada jitahidi kuwa wastaarabu. Wanaume tunajua majukumu yetu kwa wapenzi wetu ila hii tabia ya kwamba kila ukipigiwa simu au kutumiwa msg unaanza vizinga mnaboa mnoo.
Azoge[emoji2398]
Sio mgumu kunipa papuchi na wakati mwingine yeye mwenyewe ndo huwa ananishtua "baby mi nna nyege nakuja unitie"
Kiumri ana miaka 20 ila ana mtoto mmoja,mwanzoni naanza nae mahusiano aliniambia yeye sio kama wasichana wengine wanaopenda penda kuomba omba hela nikamwambia basi vizuri
Kikukweli Mimi nilikua nampa hela pasipo kuniomba,ila baada ya kupita pasaka akaanza vizinga daily
Kwanza alitaka niende nae club siku ya pasaka nikamwambia Mimi sio mtu wa club ,wee nenda tu na wenzako
Baada ya muda binti amekua mpiga vizinga hadi kero
Yani hata ile mood ya kumwita nimpige mkuyati inaisha siku hadi siku
Kila nikimtafuta lazima mwisho apige kizinga hadi imekua kero
Sometimes hanitafuti kwenye simu mi nikimtafuta lazima ataingizia kizinga,sio kwamba nashindwa kumpa ila ile tabia yake kwamba kila tukiwasiliana anachomea suala LA hela inanitibua sana
Na sijampenda kivile,namtafutia timing nimpige chini
Wadada jitahidi kuwa wastaarabu. Wanaume tunajua majukumu yetu kwa wapenzi wetu ila hii tabia ya kwamba kila ukipigiwa simu au kutumiwa msg unaanza vizinga mnaboa mnoo.
Azoge[emoji2398]