Tomahawk cruise missile

Tomahawk cruise missile

likat

Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
40
Reaction score
32
Tomahawk cruise of missile may be US weapon of choice to strike syria military targets. The cruise missile which launched from the Navy destroyer ship is difficult to be track and neutralized by the air defense. Also the missile uses inferred sensors to jam air defense missiles. It can penetrates S 400 Air defense batteries and also they cannot be easily detected on the as they are flying in a low altitude.
images (2).jpeg
 
Wapi walikojaribisha hizo silaha na wakaona kweli ina penetrate s 400 air defence betteries? Au ndio propaganda kibamia?.
 
Naona watu hii kitu wanaichukulia masihara, but trust me, it's not.

Tukumbuke ingawaje both Russia na US wapo Syria lakini hawapo ndani ya direct confrontation.

US yupo kuwasaidia Waasi wanaotaka kumuondoa Asad madarakani na Russia yupo Syria kuhakikisha Waasi wanaotumiwa na US hawamuondoi Assad madarakani.

Hapo juu pia ni sababu kwanini Iran yupo Syria!

Lakini hili la sasa ni tofauti. Wakati hapo kabla ni Waasi ndio walikuwa wanafanya direct confrontation kwa Assad na hivyo ku-face direct confrontation from Russia; kinachoshadadiwa hivi sasa ni Assad ku-face confrontation directly from US.

Shambulio la moja kwa moja la US kwa Syria ina maana ni shambulio la moja kwa moja la US dhidi ya majeshi ya Russia ya Iran yaliyopo Syria!

Hadi hapo, kwa kuanzia tunapata equation:

US vs Syria + Russia.

Kwavile US hawezi kupata UN support kutokana na Veto ya Russia and of course, China; hakuna shaka kimbelembele namba moja kujiunga hapo atakuwa UK.

Kuingia kwa UK kutafuatiwa mapema sana na France. The equation becomes:

US + UK + France vs Syria + Russia.

Ikifika hapo; hapatakuwa na namna bali Iran kulazimika kuendeleza alipoishia! The equation becomes:

US + UK + France vs Syria + Russia + Iran.

Kufikia hapo; kuna kimbelembele mwingine nae atataka aingie! Kimbelembele huyu mashabiki wake wanamuita "Taifa la Mungu" a.k.a Israel.

Hata hivyo, wenye shoo yao watamwambia "Dogo tulia"

Kwa upande mwingine; Russia atalazimika kusogeza majeshi yake jirani na lango la NATO. Kufikia hayo, bila shaka atatumia base zake zilizopo Belarus na kwa sasa uhusiano wa Russia na Belarus ni mzuri!

Ni muhimu sana kwa Russia kuwa Belarus kuzuia uwezekano wa NATO kuingia Russia.

That said, endapo Russia atafanikiwa kusogeza majeshi yake Belarus ina maana atakuwa jirani kabisa na Poland ambalo ni lango kuu la kuingilia NATO.

Aidha, Poland hajapata kumuamin Russia hata siku moja! In short, Russia ni Poland's greatest enemy.

To cut a long story short, hii tunayoishabikia ikitokea inaweza kusababisha mataifa mengi kuingia!
 
Let's get prepared for worse!! Naona watu hii kitu wanachukulia masihara, but trust me, it's not.

Tukumbuke ingawaje both Russia na US wapo Syria lakini hawapo ndani ya direct confrontation.

US yupo kuwasaidia Waasi wanaotaka kumuondoa Asad madarakani na Russia yupo Syria kuhakikisha Waasi wanaotumiwa na US hawamuondoi Assad madarakani.

Hapo juu pia ni sababu kwanini Iran yupo Syria!

Lakini hili la sasa ni tofauti. Wakati hapo kabla ni Waasi ndio walikuwa wanafanya direct confrontation kwa Assad na hivyo ku-face direct confrontation from Russia; kinachoshadadiwa hivi sasa ni Assad ku-face confrontation directly from US.

Shambulio la moja kwa moja la US kwa Syria ina maana ni shambulio la moja kwa moja la US dhidi ya majeshi ya Russia ya Iran yaliyopo Syria!

Hadi hapo, kwa kuanzia tunapata equation:

US vs Syria + Russia.

Kwavile US hawezi kupata UN support kutokana na Veto ya Russia and of course, China; hakuna shaka kimbelembele namba moja kujiunga hapo atakuwa UK.

Kuingia kwa UK kutafuatiwa mapema sana na France. The equation becomes:

US + UK + France vs Syria + Russia.

Ikifika hapo; hapatakuwa
Hivi unazani kuna Taifainataka kuingia kwenye vita kubwa kama hizo? Hata USA hataka na hata Urusi. Make impact yake ni un calculated.

Hawajui what is next..zikianza Nucler war hapa hakuna cha Ulaya wala Africa wana Asai wala America.

Ogopa sana mgogoro unao husisha Nucler power.
 
Hivi unazani kuna Taifainataka kuingia kwenye vita kubwa kama hizo? Hata USA hataka na hata Urusi. Make impact yake ni un calculated.

Hawajui what is next..zikianza Nucler war hapa hakuna cha Ulaya wala Africa wana Asai wala America.

Ogopa sana mgogoro unao husisha Nucler power.
Between the two, mmoja wao ni insane! Hata hivyo, hakuna mwendawazimu wa kutumia nyuklia hata kama anazo!
 
Tomahawk cruise of missile may be US weapon of choice to strike syria military targets. The cruise missile which launched from the Navy destroyer ship is difficult to be track and neutralized by the air defense. Also the missile uses inferred sensors to jam air defense missiles. It can penetrates S 400 Air defense batteries and also they cannot be easily detected on the as they are flying in a low altitude.
Cruise missile yoyote siyo tu Tomahawk ni ngumu sana kuzicounter effectively hasa zikirushwa kwa wingi,Wataalamu wamasema ili kuwana uhakika wa ku shot dowan cruise missile at least unatakiwa kurusha SAM 2 ku counter 1 cruise missile.Sasa zikirushwa 59 kwa pamoja lazika air defense zitakuwa overwhelmed.
 
Nimejuwa wamesha rusha kumbe unatuletea story za Babu yenu!
Fundi25, sio babu yao, ni Mawigi yao, nadikia vyoo vyote vya white house vimejaa kwa tumbo la kuhara la mzee Mawigi, kwa sasa anajisaidia kwa Ted Cruiz.
 
Naona watu hii kitu wanaichukulia masihara, but trust me, it's not.

Tukumbuke ingawaje both Russia na US wapo Syria lakini hawapo ndani ya direct confrontation.

US yupo kuwasaidia Waasi wanaotaka kumuondoa Asad madarakani na Russia yupo Syria kuhakikisha Waasi wanaotumiwa na US hawamuondoi Assad madarakani.

Hapo juu pia ni sababu kwanini Iran yupo Syria!

Lakini hili la sasa ni tofauti. Wakati hapo kabla ni Waasi ndio walikuwa wanafanya direct confrontation kwa Assad na hivyo ku-face direct confrontation from Russia; kinachoshadadiwa hivi sasa ni Assad ku-face confrontation directly from US.

Shambulio la moja kwa moja la US kwa Syria ina maana ni shambulio la moja kwa moja la US dhidi ya majeshi ya Russia ya Iran yaliyopo Syria!

Hadi hapo, kwa kuanzia tunapata equation:

US vs Syria + Russia.

Kwavile US hawezi kupata UN support kutokana na Veto ya Russia and of course, China; hakuna shaka kimbelembele namba moja kujiunga hapo atakuwa UK.

Kuingia kwa UK kutafuatiwa mapema sana na France. The equation becomes:

US + UK + France vs Syria + Russia.

Ikifika hapo; hapatakuwa na namna bali Iran kulazimika kuendeleza alipoishia! The equation becomes:

US + UK + France vs Syria + Russia + Iran.

Kufikia hapo; kuna kimbelembele mwingine nae atataka aingie! Kimbelembele huyu mashabiki wake wanamuita "Taifa la Mungu" a.k.a Israel.

Hata hivyo, wenye shoo yao watamwambia "Dogo tulia"

Kwa upande mwingine; Russia atalazimika kusogeza majeshi yake jirani na lango la NATO. Kufikia hayo, bila shaka atatumia base zake zilizopo Belarus na kwa sasa uhusiano wa Russia na Belarus ni mzuri!

Ni muhimu sana kwa Russia kuwa Belarus kuzuia uwezekano wa NATO kuingia Russia.

That said, endapo Russia atafanikiwa kusogeza majeshi yake Belarus ina maana atakuwa jirani kabisa na Poland ambalo ni lango kuu la kuingilia NATO.

Aidha, Poland hajapata kumuamin Russia hata siku moja! In short, Russia ni Poland's greatest enemy.

To cut a long story short, hii tunayoishabikia ikitokea inaweza kusababisha mataifa mengi kuingia!
Hakuna wa kujiingiza kwenye mgogoro wa kupoteza maisha ya raia wake na wanajeshi kwa maslahi ya kishamba. Mind you ni kwamba, kama kutatokea Military fight kati ya USA na Russia, basi ujue hakuna atakaye ingia si Nato wala China, may be Indirect.
 
Kombora moja sawa na bilioni 4 tsh,
very expensive na ni biashara nzuri sana kwa wazalishaji wa makombora iwapo vita itatokea,lazima share zipande bei.

Siri ya kuishinda air defence yeyote ile ni kui overwelm kwa makombora,sasa kipindi wanafanya reloading ndo mda wa makombora kupenya,
so ikatokea kweli marekani wakaizidi S-400,
russia atabaki na solution moja tu kuzamisha destroyer inayofyatua makombora,
ama kuzamisha aircraft carrier yenye ndege karibu 70 na askari 6500,
na hiyo ndo sababu aircraft carrier USS Harry Truman haiendi syria bali inaelekea persian gulf kama rotation ya kawaida-kwani huwezi kutumia aircraft carrier katika vita na mataifa makubwa yenye uwezo wa kuizamisha,ni hasara kubwa ambayo marekani haiko tayari kuivumilia,
na endapo mfano imezamishwa,kinachofuata ni nuclear exchange
 
Cruise missile yoyote siyo tu Tomahawk ni ngumu sana kuzicounter effectively hasa zikirushwa kwa wingi,Wataalamu wamasema ili kuwana uhakika wa ku shot dowan cruise missile at least unatakiwa kurusha SAM 2 ku counter 1 cruise missile.Sasa zikirushwa 59 kwa pamoja lazika air defense zitakuwa overwhelmed.
kwa hiyo source ataachiwa tu irushe mpaka yafike 59?
 
Hakuna wa kujiingiza kwenye mgogoro wa kupoteza maisha ya raia wake na wanajeshi kwa maslahi ya kishamba. Mind you ni kwamba, kama kutatokea Military fight kati ya USA na Russia, basi ujue hakuna atakaye ingia si Nato wala China, may be Indirect.
Inaelekea huwafahamu vizuri Uingereza and France! Tuombe pasiwe na direct confrontation kati ya Russia and US lakini kusema hakuna atayeingia; you're underestimating NATO na malengo ya kuanzishwa kwake!

China; cjawataja na wala sikuwa na mpango wa kuwataja! US is more of economic enemy to China than military enemy.

China sio rafiki wa Russia though wana-share na marafiki!

That said, China anaweza kuingia only if maslahi yake yanatishiwa!
 
Tomahawk cruise of missile may be US weapon of choice to strike syria military targets. The cruise missile which launched from the Navy destroyer ship is difficult to be track and neutralized by the air defense. Also the missile uses inferred sensors to jam air defense missiles. It can penetrates S 400 Air defense batteries and also they cannot be easily detected on the as they are flying in a low altitude.
Mkuu Tomahawk kiboko yake S-400, na mrusi kesha mwambia Mmarekani, rusha hicho kishada cha Tomahawk na uone kama sijakichana pamoja na meli kilipotokea.
Mmarekani hadi sasa kimya.
 
Tomahawk cruise of missile may be US weapon of choice to strike syria military targets. The cruise missile which launched from the Navy destroyer ship is difficult to be track and neutralized by the air defense. Also the missile uses inferred sensors to jam air defense missiles. It can penetrates S 400 Air defense batteries and also they cannot be easily detected on the as they are flying in a low altitude.

Mmmmh...inaelekea source ni wewe mwenyewe maana English yake dah..."It can penetrates!!!!????
 
Nyie watu haya mambo si ya kushangilia, hivi mshawahi chunguza maraisi wa izo nchi wakila kiacho cha kutumikia nchi zao baada ya uchaguzi huwa ipoje, Marekani huwa kuna kibox chekundu chini kisha biblia ama quran juu yake hali kadhalika kwa Warusi kibox chekundu kisha biblia juu yake. Kibox cha nini maana yake dunia nzima ipo chini yako, maamuzi yoyote utakayofanya hii dunia inaweza potea. Hivyo hii kitu si ya kushabikia tuombe Mungu yaishe salama Gorbachev mwaka 1990 aliamua yaishe je ni nani kati ya wawili sasa hivi ataamua yaishe, Je ni Trump ama je ni Putin, sidhani kama Russia watakubali tena kuchezewa hapa ni marekani kuwa mpole katika hili, na je akiwa mpole itakuwaje kwa washirika wake? Watapoteza imani nae. Baba yangu wa taifa hakika hakuwa mjinga kuwa benet na warusi ambapo katika vita ya kagera pia walitusaidia sana. Ogopa mtu anayekuambia kuwa I do not permanent friend or permanent enemy, today your my friend tomorrow your my enemy, hilo ndo watu wanaanza mwogopa marekani but Russia he never betray his friends katika shida katika raha. Mchina na ujanja wote lakini technology anauziwa na russia, hayo mabasi na malori tekinolojia inatoka russia. Hivyo ni mtu asiyependa uwe tegemezi kwake muda wote, angalia wakati wa USSR hakuwekeza viwanda vyote kwake bali kila nchi na mwanachama alijaribu wekewa viwanda, aliaacha viwanda vingi sana Ukraine, na ukraine ikimalizwa syria inarudiwa kuchukuliwa yote baada ya cremia, animi hilo hakuna kitu warusi kinawauma kama ukraine hivyo wana kila juhudi kuitaka iwe mikononi mwao.
 
Inaelekea huwafahamu vizuri Uingereza and France! Tuombe pasiwe na direct confrontation kati ya Russia and US lakini kusema hakuna atayeingia; you're underestimating NATO na malengo ya kuanzishwa kwake!

China; cjawataja na wala sikuwa na mpango wa kuwataja! US is more of economic enemy to China than military enemy.

China sio rafiki wa Russia though wana-share na marafiki!

That said, China anaweza kuingia only if maslahi yake yanatishiwa!
strategically, russia ikipigana us na nato atakaye imarika ni mchina na ndio mwanzo wa china kua super power

itakua kama vita vya pili vya dunia,marekani hakushiriki kwa kiwango kikubwa yeye alikua anauza tu bidhaa kwa wapiganaji hapo ndipo uchumi wake ulipo imarika na kua super power na ndivyo hivyo itatokea kwa china

na hata kama siku ikitokea china anapigana na marekani atakaye faidi atakua ni russia
 
Back
Top Bottom