Tom Chilala hayuko huru!

Tom Chilala hayuko huru!

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,065
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha magazeti asubuhi kupitia RFA, siku akiyasoma huyu jamaa utagundua kuwa kuna habari hasomi kwenye magazeti mengine tena ukurasa wa mbele, atakusomea habari kwa kina na pia maoni kutoka Uhuru, Habari leo, Jambo leo na Dira ya mtanzania.

Mbona wale wadada uwa wanasoma bila upendeleo? au ndo jamaa unausaka ukuu wa wilaya? Acha hizo Tom soma habari pia kutoka magazeti kama Mwananchi, Tanzania Daima, Mtanzania, Jamhuri n.k kwa sababu hizo habari hujaandika wewe na huwezi kuukosa u-DC kwa kusoma habari, vinginevo hauko huru na ni kama vile unafanya kazi kwa maelekezo.
 
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha magazeti asubuhi kupitia RFA, siku akiyasoma huyu jamaa utagundua kuwa kuna habari hasomi kwenye magazeti mengine tena ukurasa wa mbele, atakusomea habari kwa kina na pia maoni kutoka Uhuru, Habari leo, Jambo leo na Dira ya mtanzania. Mbona wale wadada uwa wanasoma bila upendeleo? au ndo jamaa unausaka ukuu wa wilaya? Acha hizo Tom soma habari pia kutoka magazeti kama Mwananchi, Tanzania Daima, Mtanzania, Jamhuri n.k kwa sababu hizo habari hujaandika wewe na huwezi kuukosa u-DC kwa kusoma habari, vinginevo hauko huru na ni kama vile unafanya kazi kwa maelekezo.

Kujipendekeza Kwake Kwa Executives Haswa MJOMBA Kulimtokea Puani ktk Kampeni Ya MJOMBA Jimboni Kwake Chalinze Mnamo Mwaka 2010 Na Nakumbuka Alimuuliza MUKULU ( MJOMBA ) Swali La Kingese ngese Kama Si La Kitoto Na MJOMBA Akampiga Dongo na Kuisukuma Mic Yake na KUMPUUZA na Nakumbuka Jamaa Alikuwa Mdogo na Lilimshuka!!!!! Anajipendekeza Sana Kwa MJOMBA ila HAKUBALIKI na Hana Nyota Ya Mvuto na Abakie tu Hapo Hapo Ada Estate Huku Jembe Langu La Kitutsi Baruan Muhuza Akichanja tu Mbuga na Sasa Yupo Zake BBC.
 
Huyu ni mharibifu wa vipindi siku zote, naona kama vile kavamia fani
 
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha magazeti asubuhi kupitia RFA, siku akiyasoma huyu jamaa utagundua kuwa kuna habari hasomi kwenye magazeti mengine tena ukurasa wa mbele, atakusomea habari kwa kina na pia maoni kutoka Uhuru, Habari leo, Jambo leo na Dira ya mtanzania.

Mbona wale wadada uwa wanasoma bila upendeleo? au ndo jamaa unausaka ukuu wa wilaya? Acha hizo Tom soma habari pia kutoka magazeti kama Mwananchi, Tanzania Daima, Mtanzania, Jamhuri n.k kwa sababu hizo habari hujaandika wewe na huwezi kuukosa u-DC kwa kusoma habari, vinginevo hauko huru na ni kama vile unafanya kazi kwa maelekezo.

1. Ana ka element ka kujikomba,
2. Woga wa aina fulani
3. Nadhani ana affiliation na CCM
 
Si ukanunue gazeti wewe acha kupenda kitonga

Utanunua yote mkuu? moja au mawili sawa mengine unayapata kupitia njia kama hizo, halafu sehemu nyingine magazeti hayafiki kwa muda kama ambavyo redio inafika.
 
Naona yalimshinda, akaenda zake IPP media
 
Back
Top Bottom