Toka mtandaoni: Madhara ya sigara na ugoro

Toka mtandaoni: Madhara ya sigara na ugoro

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,071
Reaction score
831,688
Wataalamu wa matibabu wanaonya kuwa kutibu madhara ya sumu hii huhitaji teknolojia ambayo ni ghali mno na kuwa sio nchi nyingi zina
uwezo wa kuyatibu.

Kwa hiyo ukipata sumu hii ameugua, itabidi tu ajitayarishe kupoteza maisha.

Dkt Gakunju anaongeza kuwa jani moja la mmea wa tumbaku hapa nchini limefanyiwa utafiti na kubainika kuwa huwa lina sumu hii kwa kiwango
cha asilimia 15.

Jiulize ukitumia ugoro au sigara unakuwa umetumia majani mangapi?

TULINDE AFYA ZETU DHIDI YA SUMU HII. ACHANA SIGARA NA UGORO.

*MADHARA UGORO*
magonjwa ya moyo
kansa ya koo
kansa ya Mapafu
kifua kikuu
matatizo ya meno
kuharibu mifupa
kupunguza uwezo wa kufikiria
hupunguza ufanisi wa ufanyaj kazi wa ubongo
 
Hizo dalili mkuu hata usipotumia Ugolo wala Sigara unaweza kuzipata hatuna namna acha tuvute tu
 
Binadamu sijui tunawaza nn,japo wameandika hatari kwa afya ila Watu hawaiachi
 
.
tapatalk_1580437546869.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom