Katitima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 631
- 122
BWANA JUMA IDD,aliyepata kuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya jiji la mbeya amechukua nafasi ya BI.SIPORA LIANA aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya jiji la arusha ambaye sasa hivi amehamishiwa OWM-TAMISEMI.
BI SIPORA ametolewa arusha kutokana na majungu ya mkuu wa mkoa BWANA MUGESA MULONGO pamoja na zengwe la madiwani wachache wasiopenda uwajibikaji wakiongozwa na meya wa halmashauri ya jiji.
Naomba niwahakikishie viongozi hao mafisadi na wenye kujali maslahi yao kuwa bwana IDD ni mtendaji mzuri sana na mambo hayatakuwa rahisi kama wanauyodhani.
huyu bwana alipigwa sana majungu pale mbeya chini ya shinikizo la meya wa jiji bwana ATHANAS KAPUNGA(diwani kata ya isanga C.C.M) lakini hakuweza kutii kile walichokitaka na hatimaye kupika majungu na kupelekea uhamisho wake kwenda OWM-TAMISEMI.
bwana IDD alijitahidi kufanya kazi zake kwa kuzingatia miongozo akishirikiana na viongozi wapenda maendeleo na hatimaye kuifanya
mbeya angalau ipate mwonekano ilionao sasa.
NENDA KAFANYE KAZI IDD.
BI SIPORA ametolewa arusha kutokana na majungu ya mkuu wa mkoa BWANA MUGESA MULONGO pamoja na zengwe la madiwani wachache wasiopenda uwajibikaji wakiongozwa na meya wa halmashauri ya jiji.
Naomba niwahakikishie viongozi hao mafisadi na wenye kujali maslahi yao kuwa bwana IDD ni mtendaji mzuri sana na mambo hayatakuwa rahisi kama wanauyodhani.
huyu bwana alipigwa sana majungu pale mbeya chini ya shinikizo la meya wa jiji bwana ATHANAS KAPUNGA(diwani kata ya isanga C.C.M) lakini hakuweza kutii kile walichokitaka na hatimaye kupika majungu na kupelekea uhamisho wake kwenda OWM-TAMISEMI.
bwana IDD alijitahidi kufanya kazi zake kwa kuzingatia miongozo akishirikiana na viongozi wapenda maendeleo na hatimaye kuifanya
mbeya angalau ipate mwonekano ilionao sasa.
NENDA KAFANYE KAZI IDD.