TOKA MBEYA mpaka ARUSHA(HONGERA BWANA JUMA IDD)

TOKA MBEYA mpaka ARUSHA(HONGERA BWANA JUMA IDD)

Mulongo ni swahiba mkubwa wa rais, ukimwingilia kwenye harakati zake unangoka muulizeni Siporah. Tuone bw. Iddi kama ata 'toe line ' ya Mulongo au laa.
 
ngoja akutane na akina lema wanakaa wamelewa mda wote atajua arusha ni nn. Pale kuna bavicha zero brain kabisa kila mda wanawaza vurugu na maandamano

acha uongo ! BAVICHA hakuna mwanachama mzee kama MULONGO .
 
Mbeya imekanyaga kinyesi kwa kumuendekeza fisadi Kapunga, Arusha wakitulia jamaa mzuri sana, ila watendaji wezi wajiandae, hapo hakuna ujanja ujanja, watendaji waadilifu watampenda, Arusha wakiachana na siasa wakaangalia maendeleo watashangaa kuona mapato yakiongezeka maradufu.

Uzuri wa Iddi, haegemei vyama, anasikiliza hoja za madiwani wote pasipo kuangalia huyu chama tawala huyu mbadala.

Ni mtendaji mzuri kwa kweli, hongereni Arusha.
Kwa sifa hizi ulizompa na mahali ambapo Mulongo, Chitanda na ccm inatawala Idd asiende na mizigo. Abebe briefcase tu. Arusha hapamfai.
Liana si kaondolewa kwa kuzingatia Sheria na kanuni.
 
Hapo kwenye red Siyo kweli kwani kapunga anatoka kata ya Itiji tafadhali, na pia IDD hafanani na sifa unazidai anazo kimsingi mamlaka za uteuzi zinakurupuka

asante kwa marekebisho ya kata,ila kuhusu IDD,watu wa mbeya mmepoteza mtu mchapakazi na makini sana mkuu.
 
jk anatanguliza uswahiba na chama mbele ya maendeleo,namjua mulongo tokea akiwa dc bagamoyo,ni mzinzi na mpenda rushwa hatari.[/QUOTE

he!! siamini macho yangu! bavicha leo wanauponda uzinzi!!! au huyu siyo bavicha! anyway, kama huyo jamaa ni mzinzi mi sijasikia kesi yake hata siku moja.
 
Back
Top Bottom