Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Demu utatengana nae sawa, mke je?
Natengana naye pia, kama tumeshindwa kuelewana, ...
Demu utatengana nae sawa, mke je?
Uwezi jua uwenda nae anabuluzwa vilevile na Bibi,Ameongea point sana huyo mzee
We ndio yule drama queen V mwenyewe😂😂😂 zingua zingua ule kofi olomidePersonally, hasira za kiume zinanipaga raha sana. Mnaviiiimbaaa....
...Mpaka pale kifo kitakapowatenganisha...Natengana naye pia, kama tumeshindwa kuelewana, ...
...Mpaka pale kifo kitakapowatenganisha...
Hapo ndio utajua hujui!
kwamba utabishana na andikoSiyo mimi, ...
Chaurembo, toto lito 😍😍😍Hehe!!ati toka nifagie..😂😂
😀 Niambie babalai..Chaurembo, toto lito 😍😍😍
kwamba utabishana na andiko
Ni kwerekweche asee, upo gudi mama la mama😝! Nimeisare hio mating'a kwa fasi ya dwasi apo ma profide...asee io jicho ni balaa 😍😀 Niambie babalai..
Ila sio kwa mazingira ya mke mkorofi. Mpaka umpate nakesi ya kucheat.Nafikiri maandiko yanaruhusu kuvunja ndoa kama ikibidi, kwa mfano Uzinzi ni moja kati ya amri kumi za Mungu, hivyo mmoja akifanya uzinzi anakuwa amevunja moja kati ya Kuu za Mungu, kwa hiyo inaruhusiwa kuvunja ndoa kulingana na mazingira nionavyo mimi, ...
Ila sio kwa mazingira ya mke mkorofi. Mpaka umpate nakesi ya kucheat.
Si ndio hapo mkuu, mimi ningemwambia oya sitoki kmmk fanya uwezaloHAKUNA KOSA KUBWA KAMA KUMPA NAFASI MWANAMKE AKUPANDE KICHWANI KAMA NI MAPENZI YATAYUMBA NA KAMA NI NDOA ITAKUWA CHUNGU
wife anakufokeaje, dah huo upole gani mkuu? muamshie popo mabanzi mixa kumtisha kumuacha, akisepa asepe ndio uanaume huo madem kibwena mzeeUkimpa nafasi mwanamke anageuka kituko, anakujumlisha na watoto wako. Anataka akupangie jinsi ya kuvaa, kunyoa, nini ule, saa ngapi utoke/urudi, na mengine ya kuudhi.
Kama wife sometimes akirudi tuu kutoka kazini au mishe zake anaanza kutufokea wote mimi na watoto akimaliza anaenda kujifungia bedroom, nimeishiwa nguvu ila niko natafuta nyumba ndogo ili akija na kisirani zake mie najitoa taratiiibuuu, labda kashanichoka hataki sema.
Kwani ukorofi utauona sasa mkiwa wachumba😂😂😂!!!Na siwezi kuoa Mwanamke ,,mkorofi '', mpaka niamue kuoana naye ni lazima nimesha mjua vizuri na kuona kama tunaweza kuelewana na kuishi pamoja, hayo mengine yanatatulika, ...
Ni kwerekweche asee, upo gudi mama la mama😝! Nimeisare hio mating'a kwa fasi ya dwasi apo ma profide...asee io jicho ni balaa 😍
😂😂 UsikumwemaNi kwerekweche asee, upo gudi mama la mama😝! Nimeisare hio mating'a kwa fasi ya dwasi apo ma profide...asee io jicho ni balaa 😍
Kwani ukorofi utauona sasa mkiwa wachumba😂😂😂!!!
Balaa ni baada ya watu kucheza Kwaito pale😁