Tohara ya kibamia

Mshana bhana... hivi hujui vibamia ni group kabisa lililosajiliwa BRELA na kwamba wanachama kujiunga ni lazima wafuate terms na condition?
 
Kuna kitu huwa sielewi naombeni ufafanuzi wakuu, kibamia ni mashine iliyoko kama upinde or ndizi, au ni mashine fupi?
 

Sheria ya umiliki wa vitu vyenye ncha kali ya mwaka 2015 Cap 13 na kile cha 18 inatamka wazi kwamba ili mmiliki awe timu kibamia ni lazima weapon yake iwe chini ya sm 6 hata baada ya kurupushani baada ya kuona opponent wake, aidha pia kifungu cha 75 tunachoendelea kukiboresha kinamtoa kwenye 'group' member aliyeenda kwa mtaalamu kujaribu kama yaliyomo yamo na matokeo yakawa chanya!
 
 
Hii sharia si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…