The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
umeguni nini hapo sasa manake kwa maambiguity wewe hujambo!
nilifikiri kila mwanamke ana ma zombie lol...
umeguni nini hapo sasa manake kwa maambiguity wewe hujambo!
nilifikiri kila mwanamke ana ma zombie lol...
so true lol
hahhahhhahhha au unadhani yule wangu wa ile story nae kwani ni zombie jamani,manake huwa namload na stress zangu zote za mahusiano toka tunakua jamani!ah no yule sio zombie bana!ni booonge na best boy friend!
Kama ni Chagazzzzzzzzzzzz...........loading........................0.1%wahusika wote ni none other than Chaggas. kijana, parents wake, binti na familia yake....wooote chaggas.
familia ya binti pamoja na kwamba wana uwezo wa kati, hawana mpango wa kulia njaa kwa mtu yeyote (if u get what I mean)...ni jeuri in a way japo hawana pesa kubwa kama ya upande wa pili.
Kama ni Chagazzzzzzzzzzzz...........loading........................0.1%