Ila hivi vi-Air hostess vinakuwaga vijuriii jomoniii kuna muda vinafanya usafiri wa anga usiwe hatari kwa maisha ya binadamu...Air Tanzania wafanye mapinduzi kwakweli mtu unaweza lala anga lote na kujawa hofu safari nzima,..
Mwanzo mlikuja na hoja mnalalamika eti panga boi,imekuja dreamliner with jet engines mmehamisha magoli nakuja na hoja ya kufananisha na ma Air hostess!!
Ila hivi vi-Air hostess vinakuwaga vijuriii jomoniii kuna muda vinafanya usafiri wa anga usiwe hatari kwa maisha ya binadamu...Air Tanzania wafanye mapinduzi kwakweli mtu unaweza lala anga lote na kujawa hofu safari nzima,..