bowlibo JF-Expert Member Dec 10, 2011 3,205 2,904 Mar 17, 2016 #1 1. zamani mtu kuwa mkubwa serikalini ilikuwa ni neema, siku hizi ni mzigo 2. zamani kazi serikalini ilikuwa kazi kidogo, mapato mlima 3. zamani serikalini fuko la pesa kila mtu anaulizia liko wapi, siku hizi kila mtu analikimbia endeleeni
1. zamani mtu kuwa mkubwa serikalini ilikuwa ni neema, siku hizi ni mzigo 2. zamani kazi serikalini ilikuwa kazi kidogo, mapato mlima 3. zamani serikalini fuko la pesa kila mtu anaulizia liko wapi, siku hizi kila mtu analikimbia endeleeni