Nimekusikiliza vizuri sana Sheukh wangu na tayari nimekuelewa kuwa vita hivi vina udini ndani yake au niseme ni ya kidini zaidi kuliko kimaslahi...Iran wanaisimama katika Uislam wao wanachukiwa na Makafiri, ila Wamisri kwakuwa tayari wanaendana na mfumo wa kikafiri hawawezi kusumbuliwa Asilani
Allah atasimama na Dini ya Hakhi itasimama.