Tofauti ya umri wa Marais Afrika na Ughaibuni

Tofauti ya umri wa Marais Afrika na Ughaibuni

Brooklyn

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
1,459
Reaction score
286


BAADHI YA MARAIS WA AFRIKA NA UMRI WALIO NAO
Hosni Mubarak ( Misri) miaka 82

Robert Mugabe ( Zimbabwe ) 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) 74
Rupiah Banda ( Zambia ) 73
Mwai Kibaki ( Kenya ) 71Colonel Gaddafi ( Libya ) 68
Jacob Zuma ( Afrika ya Kusini ) 68
Ian Khama ( Botswana ) 57
JK (Tanzania) 59

Wastani: 72.4

______________________________

UGHAIBUNI MAMBO NI HIVI
Barrack Obama (USA) 48
David Cameron (UK) 43
Dimitri Medvedev ( Russia ) 45
Stephen Harper ( Canada ) 51
Kevin Rudd ( Australia ) 53
Nicolas Sarkozy ( France ) 55
Luis Zapatero ( Spain ) 49
Jose Socrates ( Portugal ) 53
Wastani: 49.6

Je kuna mahusiano ya moja kwa moja kati umri wa viongozi na maendeleo ya nchi wanazoziongoza??

Nimeinyofoa toka issamichuzi.blogspot.com
 


BAADHI YA MARAIS WA AFRIKA NA UMRI WALIO NAO
Hosni Mubarak ( Misri) miaka 82

Robert Mugabe ( Zimbabwe ) 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) 74
Rupiah Banda ( Zambia ) 73
Mwai Kibaki ( Kenya ) 71Colonel Gaddafi ( Libya ) 68
Jacob Zuma ( Afrika ya Kusini ) 68
Ian Khama ( Botswana ) 57
JK (Tanzania) 59

Wastani: 72.4

______________________________

UGHAIBUNI MAMBO NI HIVI
Barrack Obama (USA) 48
David Cameron (UK) 43
Dimitri Medvedev ( Russia ) 45
Stephen Harper ( Canada ) 51
Kevin Rudd ( Australia ) 53
Nicolas Sarkozy ( France ) 55
Luis Zapatero ( Spain ) 49
Jose Socrates ( Portugal ) 53
Wastani: 49.6

Je kuna mahusiano ya moja kwa moja kati umri wa viongozi na maendeleo ya nchi wanazoziongoza??

Nimeinyofoa toka issamichuzi.blogspot.com

Lakini umeamua kuchagua
Mbona hujawachagua akina JOSEE KABILA, OMARI BONGOO mtoto.
Na hata vivyo hawa wazee wa africa nafikiri nao wanasource nzuri ya kuchangia huo umasikini. Lakini nikiangalia hata huku ugaibuni vyama vya waafrika viko SHAGALABAGALA tofauti kabisa na vyama vya jamii zingine kama vile WAVIETNAM, WACHINA etc. Na ukirudi ktk ushirikiano.

yani to be sincere ni kwamba ushirikiano wa afrika ugaibuni ni almost ZERO, iko well disorganized pia ni tofauti na jamii zingine.

Mimi bado nafikiri tunatatizo la msingi ambalo tu-nalikwepa kuli address kwa visingizio hivi na vile.
 
Na ukirudi ktk ushirikiano.

yani to be sincere ni kwamba ushirikiano wa afrika ugaibuni ni almost ZERO, iko well disorganized pia ni tofauti na jamii zingine.

Mimi bado nafikiri tunatatizo la msingi ambalo tu-nalikwepa kuli address kwa visingizio hivi na vile.

Sio huko pekee; ona hata hapa nyumbani wakati pale Dar watu wana vyama vya kijamii vya koo fulani wenzetu wahindi wana ushirikiano wa jamii nzima!

Ni kweli naungana nawe tuna kasoro mahala
 
Kwa kesi ya mugabe na huyo wa Misri ni exceptional.
Lakini kadri miaka inavyokwenda naona angalau marais wa Africa wanaowekwa madarakani atleast ni 'vijana'
Ni kweli umri wa marais una 'effect' na maendeleo ya nchi.
 
Sio huko pekee; ona hata hapa nyumbani wakati pale Dar watu wana vyama vya kijamii vya koo fulani wenzetu wahindi wana ushirikiano wa jamii nzima!

Ni kweli naungana nawe tuna kasoro mahala

Ndiyo hivyo mkuu, Mie wengi huwa wanadhani ni ccm lakini kiukweli sio wala siijui kadi ya ccm inavyofanana. Lakini tatizo langu na hawa wakosoaji wa wana ccm wanashindwa kua adress binafsi ninachotegemea kiwe addressed na ndiyo maana naona wao na ccm ni package ya bidhaa moja iliyotumwa ktk vifurushi tofauti.

Binafsi naamini tunatatizo la msingi ambalo tunashindwa kuliona, maana kama hadi ugaibuni mtindo ni ule ule tu, tena kwa mataifa yote wanaotoka africa, sasa binafsi nikifikilia nashindwa kuelewa kama kweli tatizo la TZ na CCM ama ni sisi ndo tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom