Ricky Blair JF-Expert Member Joined Mar 13, 2023 Posts 553 Reaction score 1,120 Dec 9, 2023 #1 Tofauti ya Mwizi na Tapeli ni nini?
Panctuality JF-Expert Member Joined Jun 11, 2019 Posts 838 Reaction score 1,248 Dec 9, 2023 #2 Mwizi anachukua mali zako pasipo ruhusa yako kwa kificho,na tapeli huchukua mali yako au kwa kumpa wewe mwenyewe kwa kutumia lugha tu kisha baadaye mhusika ndio hushtuka kuwa kapigwa
Mwizi anachukua mali zako pasipo ruhusa yako kwa kificho,na tapeli huchukua mali yako au kwa kumpa wewe mwenyewe kwa kutumia lugha tu kisha baadaye mhusika ndio hushtuka kuwa kapigwa
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 24,865 Reaction score 89,802 Dec 9, 2023 #3 Tofauti ya mwizi na tapeli Mwizi ina silabi mbili...yaani mwi-zi Tapeli ina silabi tatu....yaani ta-pe-li
Tofauti ya mwizi na tapeli Mwizi ina silabi mbili...yaani mwi-zi Tapeli ina silabi tatu....yaani ta-pe-li
Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,197 Reaction score 14,890 Dec 9, 2023 #4 Wote ni wezi, ila Mmoja anatumia ushawishi mwengine hatumii ushawishi kukuibia. KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wote ni wezi, ila Mmoja anatumia ushawishi mwengine hatumii ushawishi kukuibia. KaziKweliKweli/JobTrueTrue