fered mbataa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 240
- 35
wachangiaji wangapi?
Ni yeye na mtoa mada na magamba mawili
wachangiaji wangapi?
wachangiaji wangapi?
Pumpkin head,....Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu
5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.
NAPE: Nchi hii ina wenyewe, na wenyewe ndio sisi
Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
Tikiti maji jingine hili!!Hivi unanijua mimi? au unasema tu? si kilakitu uchangie. Na kuna mambo yanayo nikera lazima tukae pamoja kama jamii tuyazungumze na mwisho wake maisha yaende mbele.
Pumpkin head,....
Kiboko yenu huyu hapa.....mtahangaika sana lakini hamna ujanja wa kumgusa!!!!
Sidhani kama wewe ni great thinker kwa hiki kinyesi ulichoandika, kabla huja post jitahidi kupitia ulichoandika.
Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu
5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.
Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe
Huu ni ufinyu wa kimawazo wa WANACHADEMA. Hawana hoja za kujitetea hivi kweli nyie ndio mnataka kuchukua nchi yetu. No way haitokaa itokee. Mmeshindwa kutoa point yeyote!! Shame on you CHADEMA
CHADEMA yenu matusi tunawajua hamna point yeyote.
Hujamalizia tofauti nyingine zinazogusa jamii.
1. CCM na Mikataba mibovu Richmond, Dowans, Buzwagi nk CHADEMA wanaipinga kwa nguvu zote
2. CCM imewakumbatia mafisadi PAPA CHADEMA inapinga ufisadi na inataka wafikishwe mahakamani
3. CCM imeshindwa kusema nani wamepewa fedha za kufufua uchumi CHADEMA inataka wananchi waambiwe
4. CCM imeshundwa kurekebisha mfumuko wa bei ya vyakula CHADEMA wanaitaka itoe majibu juu ya hili
5. CCM wamefadhili wizi wa wanyama hai kusafirishwa nje ya nchi Twiga nk CHADEMA inataka wahusika wote wafikishwa mahakamani ingawa mmoja alishatoroshwa
MENGINE WADAU WAONGEZE kweli vyama huvi vina tofauti kubwa na nyingi.
Hii nchi itabidi tuwaachie wendawazimu labda ndio watakaoweza kuiendesha
maana tumejaribu hawa maprofessor na ma-Dokta kwa miaka 50 umasikini
bado uko pale pale na CHINA haina maprofessor na madokta wengi kama
Tanzania lakini inamendeleo makubwa tuliyopaswa kuwa nayo leo.
Mtaji wa kujenga China na Japan,Marekani umetoka Tanzania.
Tena usirudie tena kuwasema vibaya hawa CHADEMA kidogo wanasaidia kuwaamsha watanzania
Tuwaunge mkono na tuhakikishe tunaisambaratisha CCM kabla ya 2015
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Afrika
Toa uzuzu wako hapa. hakuna muda wa kubishana na mazuzu.. na si bure umetumwa wewe. mnanunulika kwa kilo ya mchele.Prove me wrong by point sio kwa matusi sawa?
Ndio nini sasa hayo ndio mawazo ya wanaCDM