mkuu umechanganya mada. sisi tunaongelea uongozi wa chadema kujaa wakirsto pekee kuanzia juu mpaka chini. na hoja hapa ni kuwa chadema haioneshi sura ya kitaifa kama ilivyo CUF. kwa staili hiyo ni ngumu sana kuiuza chadema kwenye maeneo yenye waislam wengi kama ilivyo CUF kwenye maeneo yenye wakristo wengi. ni rahisi hata kwa mpinzani kueneza propaganda za kidini na ikaingia kwenye vichwa vya watu kirahisi hata kama sio kweli. na hii ndo sababu ccm wataendelea kushinda kirahisi. kumbuka arusha ni kajimbo kamoja tu kati ya zaidi ya majimbo 250. au wewe umeridhika na ushindi wa arusha tu?
hebu changia tena, najua utakuwa umenisoma between the line. asante.
hebu changia tena, najua utakuwa umenisoma between the line. asante.
Funga mdomo wako, unasema arusha hajachaguliwa mwislam mutumbizi ni mkristo? Ukweli huwezi mlazimisha mtu kuwa kiongozi .au kwa sababu form zilitolewa kwa Tsh 150,000/= ndio mkashindwa kuchukua form? Au ndio mnataka kuendeleza upigaji kura kidini kama mlivyofanya 2010? Na bado tukawapiga nao kwa mbali. Batilda vs lema nipe matokeo yao. Najiuliza tuu siku serekali Ikikubali siku ya uchaguzi iwe jumatano hata muzime vipaza sauti misikitini na kuwaambia waislam wasichague makafiri tutashinda ushindi wa kishindo.