Tofauti ya CHADEMA Arusha Mjini na CHADEMA Temeke

Tofauti ya CHADEMA Arusha Mjini na CHADEMA Temeke

UTANIPENDA

Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
31
Reaction score
12
Nimeona uzi kuhusu uchaguzi wa chama wa jimbo la Arusha Mjini na Temeke Dar es salaam.


Nimeona utofauti ambao naona una maana kubwa. CHADEMA Temeke wametoa tangazo la uchaguzi kwa kulalamika kuwa maamluki wameendaliwa kuvuruga uchaguzi.

Arusha mjini wametoa tangazo kwa kusema karibuni wote na kuwa kutakuwa na vifaa maalumu vya kunasa na kupekua watu wote.

Hii ndio kujiamini kunakotakiwa.
 
Temeke hakuna Chadema ndiyo maana wanakuwa na wasiwasi.
 
Temeke hakuna Chadema ndiyo maana wanakuwa na wasiwasi.

Kwakua umeweka lile pandikizi lenu pale mlilolipa bahasha za kaki ndio maana unasema hivyo tumewajua na chadema tunasonga mbele
 
Temeke hakuna Chadema ndiyo maana wanakuwa na wasiwasi.

Ni vizuri wajumbe ambao ni wapiga kura kuhudhuria tuu. Kama arusha mjini tusingeweka TV nje kwa ajili ya wageni na jinsi walivyokuwa wengi kwa kweli tungeharibu. Kumbukeni pia kuna ushabiki wa wagombea.
 
Binafsi nilihudhuria uchaguzi wa arusha. Haukuwa na vitu vya ajabu...Ila kuna tatizo la udini.
 
Uchaguzi wa chama Temeke umekamilika na Yafuatayo ni matokeo:

BAVICHA
Mkiti - Erick Mwakikato
Katibu - Benedictor Semengwa

BAWACHA
Mkiti - Sina Manzi
Katibu - Mwasity Kitwana

WAZEE
Mkiti - Mzee Mkunguna
Katibu - Simon Mwaipaja

VIONGOZI WA JIMBO
Mkiti - Bernard Mwakyembe
Katibu - Jacob Mlay
Mwenezi - Juma Kitema
Mhazini - Kubra Abdallah

Mwakilishi mkutano mkuu
Engineer Msambaza

Wajumbe 4 Kamati Tendaji
Deo Tossi
Ulius Sagat
Yesse Msengi
Mzee Zinga ( Bwana Jela)
 
Propaganda ya udini inakusaidia nini wewe CCM zaidi ya kukubomoa? Watanzania wako makini hawawezi kutengana kizembe kama mtakavyo...
Binafsi nilihudhuria uchaguzi wa arusha. Haukuwa na vitu vya ajabu...Ila kuna tatizo la udini.
 
Uchaguzi wa chama Temeke umekamilika na Yafuatayo ni matokeo:

BAVICHA
Mkiti - Erick Mwakikato
Katibu - Benedictor Semengwa

BAWACHA
Mkiti - Sina Manzi
Katibu - Mwasity Kitwana

WAZEE
Mkiti - Mzee Mkunguna
Katibu - Simon Mwaipaja

VIONGOZI WA JIMBO
Mkiti - Bernard Mwakyembe
Katibu - Jacob Mlay
Mwenezi - Juma Kitema
Mhazini - Kubra Abdallah

Mwakilishi mkutano mkuu
Engineer Msambaza

Wajumbe 4 Kamati Tendaji
Deo Tossi
Ulius Sagat
Yesse Msengi
Mzee Zinga ( Bwana Jela)

Hongereni sana makamanda. Wasaliti kwishaaaa
 
Binafsi nilihudhuria uchaguzi wa arusha. Haukuwa na vitu vya ajabu...Ila kuna tatizo la udini.
mkuu hata mimi nashangaa hizi chaguzi za hii saccos. hata temeke (katikati ya jiji) zaidi ya 98% ni watu wa dini moja, najiuliza hivi huko hakuna watu wa dini zingine? Arusha ndo kabisa 100%.
ukweli ni kwamba chadema haina sura ya kitaifa kama ilvyo CUF. (huku kigango huku baraza). ndo maana ccm itaendelea kushinda siku zote kwenye over all.
hivi vyama vijitathimini.
ngoja tusubiri.
 
mkuu hata mimi nashangaa hizi chaguzi za hii saccos. hata temeke (katikati ya jiji) zaidi ya 98% ni watu wa dini moja, najiuliza hivi huko hakuna watu wa dini zingine? Arusha ndo kabisa 100%.
ukweli ni kwamba chadema haina sura ya kitaifa kama ilvyo CUF. (huku kigango huku baraza). ndo maana ccm itaendelea kushinda siku zote kwenye over all.
hivi vyama vijitathimini.
ngoja tusubiri.

Funga mdomo wako, unasema arusha hajachaguliwa mwislam mutumbizi ni mkristo? Ukweli huwezi mlazimisha mtu kuwa kiongozi .au kwa sababu form zilitolewa kwa Tsh 150,000/= ndio mkashindwa kuchukua form? Au ndio mnataka kuendeleza upigaji kura kidini kama mlivyofanya 2010? Na bado tukawapiga nao kwa mbali. Batilda vs lema nipe matokeo yao. Najiuliza tuu siku serekali Ikikubali siku ya uchaguzi iwe jumatano hata muzime vipaza sauti misikitini na kuwaambia waislam wasichague makafiri tutashinda ushindi wa kishindo.
 
arusha viongozi wa chadema hakuna muislamu

viongozi wanachaguliwa kwa sifa zao za utendaji wala si dini zao.Nyie mnaotumia dini kama mtaji wa kisiasa mmekwama hapa Tanzania. Chadema n chama cha wananchi ndio maana haiendekezi udini kama ninyi.
 
Nimeona uzi kuhusu uchaguzi wa chama wa jimbo la Arusha Mjini na Temeke Dar es salaam.


Nimeona utofauti ambao naona una maana kubwa. CHADEMA Temeke wametoa tangazo la uchaguzi kwa kulalamika kuwa maamluki wameendaliwa kuvuruga uchaguzi.

Arusha mjini wametoa tangazo kwa kusema karibuni wote na kuwa kutakuwa na vifaa maalumu vya kunasa na kupekua watu wote.

Hii ndio kujiamini kunakotakiwa.

Naipenda Arusha maana unafiki wa kiswahili hakuna!! Dar tatizo uswahili ujuaji na kujifanya high class kumbe ndio washamba wakubwa, wasaliti! 80% ni ccm yaani jiji kubwa ka kijijini vile!!!
 
Uchaguzi wa chama Temeke umekamilika na Yafuatayo ni matokeo:

BAVICHA
Mkiti - Erick Mwakikato
Katibu - Benedictor Semengwa

BAWACHA
Mkiti - Sina Manzi
Katibu - Mwasity Kitwana

WAZEE
Mkiti - Mzee Mkunguna
Katibu - Simon Mwaipaja

VIONGOZI WA JIMBO
Mkiti - Bernard Mwakyembe
Katibu - Jacob Mlay
Mwenezi - Juma Kitema
Mhazini - Kubra Abdallah

Mwakilishi mkutano mkuu
Engineer Msambaza

Wajumbe 4 Kamati Tendaji
Deo Tossi
Ulius Sagat
Yesse Msengi
Mzee Zinga ( Bwana Jela)
Subirini mwakani safu nzima itajiuzulu hii kwani naona over 89% ni watu wasiotaka masihara! Subiri mwakani tutayaona mengi! Hongera Mzee Abbas Mtemvu kazi yako imetimia kweli wee ni zaidi ya mbunge!

Mzee Mtemvu unatisha naona mapendekezo yako yote yamepita! Nimeamini kweli Temeke kuna wenyewe!

Wakuu Ifweero, Utaifakwanza, Ritz, Mandlar Jr, Kingukitano, Mambo yametimia tuliyoyatarajia!
 
Back
Top Bottom