mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Habari zenu jamanii. Mie kuna dem nlikuwa namfukuzia mda mrefu sana na ni mzuri sana tu. Nikabahatika kumpata ila nkagundua anatatizo katika mwili wake yani Mwanamke kapooza wabaridi hata nimkumbatie vip yan hana joto tofauti na wanawake wengine unakuta mtu wa moto kwel kwel kama jiko. Mara ya kwanza nilihisi labda anaogopa ivo nimejarib kufanya vivo katika vipind tofauti lakin yupo vilevile ili kwang ni tatizo kwan kwanza upunguza presha ya mchezo, mbili tu tunaanza agana. Pliz hapa nin tatizo?