Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,950
- 183,442
Umecheka kwa kufurahi au kwa dharau? Happy sunday dear.Japo umetutukana lakini nimejikuta nacheka tu daah
Umecheka kwa kufurahi au kwa dharau? Happy sunday dear.Japo umetutukana lakini nimejikuta nacheka tu daah
Hahaha nimecheka kwa majonzi teh. Nilikumbuka na wao walishaitwa nungunungu. Happy Sunday mommaUmecheka kwa kufurahi au kwa dharau? Happy sunday dear.
Nakutafuta sana ujue.Hahaha nimecheka kwa majonzi teh. Nilikumbuka na wao walishaitwa nungunungu. Happy Sunday momma
Yesu na Maria, naogopaje kutafutwa sasa teh. Ngoja nikupm kwa unyonge mweeeNakutafuta sana ujue.
Nina rb yako[emoji12]Yesu na Maria, naogopaje kutafutwa sasa teh. Ngoja nikupm kwa unyonge mweee
Nimeshazimia hapa (simu inajitype tu)Nina rb yako[emoji12]
Mkuu Siku hizi paka shume ndio wamejaa....Usisahau kuja na 'Tofauti kati ya mwanamke na Paka shume'
Bora na wewe umeliona hiloMkuu Siku hizi paka shume ndio wamejaa....
Hasaa huku jf, wanawake wachache saana.....
Teh alafu ndio wakwanza kulalamikia wanaume wakati wao wenyewe ni tatizo....mwanamke halisi anapata mwanaume halisi,Wanaume halisi hutokea Mara nyingi kwa wanawake halisi na ndio maana usishangae mwanaume kuwa na utambulisho tofauti katika wanawake.........
Utakuta mtu fake kuanzia ngozi (kaichubua), kucha (kaweka za bandia kama nsyuka) , nywele kama kiota cha ndege , marangi ya ajabu usoni na poda kama kapimiwa kwenye mzani
AF anakuambia "MEN AREN'T REAL".........suit yourself
Ah ah ahMkuu Siku hizi paka shume ndio wamejaa....
Hasaa huku jf, wanawake wachache saana.....
Ni pale unapogundua sifa zoote za wavulana zilizotajwa unazo alafu unajiita mwanaume, job true true.Ah ah ah
Hivi Unatujua binadamu tunavyojiona wakamilifu, ukute yeye anaona wenzie ndo wavulana afu yeye ndo mwanaume peke yake tehNi pale unapogundua sifa zoote za wavulana zilizotajwa unazo alafu unajiita mwanaume, job true true.
Kwa hasira ndio mtu anajikuta yashamtoka ya kumtoka.Hivi Unatujua binadamu tunavyojiona wakamilifu, ukute yeye anaona wenzie ndo wavulana afu yeye ndo mwanaume peke yake teh
Wanalia meeeeeuwiii teh tehMkuu Siku hizi paka shume ndio wamejaa....
Hasaa huku jf, wanawake wachache saana.....