Tofauti kati ya mpenzi na mchumba

Tofauti kati ya mpenzi na mchumba

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Napata shida kutofauti haya maneno mjuzi anifafanulie nashindwa kuelewa mpenzi neno ili litumike kwa mtu wa namna gani na mchumba litumike kwa mtu wa namna gani, msaada naitaji kwenu wajuzi.
 
^^
Mchumba kwa maana ya asili yake,,ni mtu ambaye mnaishi kwa kupendana pasipo kushiriki tendo la ngono.
Mpenzi ni mtu ambaye aweza kuwa mchumba au mke ila mnashiriki tendo la ngono.
Kwa uelewa wangu wa graduation ya chekechea
^^
 
^^
Mchumba kwa maana ya asili yake,,ni mtu ambaye mnaishi kwa kupendana pasipo kushiriki tendo la ngono.
Mpenzi ni mtu ambaye aweza kuwa mchumba au mke ila mnashiriki tendo la ngono.
Kwa uelewa wangu wa graduation ya chekechea
^^

mmmh, Himidini mi mbona hata rafiki zangu wa kike huwa na waita 'mpenzi' kuonyesha na wajali na nina wapenda, kumbe ina maana yake mmmh!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Napata shida kutofauti haya maneno mjuzi anifafanulie nashindwa kuelewa mpenzi neno ili litumike kwa mtu wa namna gani na mchumba litumike kwa mtu wa namna gani, msaada naitaji kwenu wajuzi.

Mpenzi
Mtu ambae manfanya nae mambo pamoja mkishikiana bila kuwa na ajenda ya siri kti yenu,huyu sio lazima ihusishwe ngono

Mchumba
Huyu ni mtu wa jinsia tofauti na wewe ambae mmekubaliana baada ya muda fulani mtaoana na kuwa mke na mume!
 
Napata shida kutofauti haya maneno mjuzi anifafanulie nashindwa kuelewa mpenzi neno ili litumike kwa mtu wa namna gani na mchumba litumike kwa mtu wa namna gani, msaada naitaji kwenu wajuzi.

Babu,
Na uzee wote huo bado hujui haya mambo?
Haya, Mpenzi ni yule mnayepoozana pale mmoja wenu anapokuwa na kiu.
Mchumba ni Mpenzi aliyepanda daraja na anaonekana kuwa anaweza kupewa majukumu mengine..
Mchumba akifanikiwa kukidhi viwango basi hupanda daraja zaidi na kuwa Mke...

Sasa Babu, wewe una yupi kati ya hao?
 
mmmh, Himidini mi mbona hata rafiki zangu wa kike huwa na waita 'mpenzi' kuonyesha na wajali na nina wapenda, kumbe ina maana yake mmmh!!!!!!!

^^
Lady doctor best
mekumisije? Hafu huyo rafikio mpenzi ni moja kati ya aina tano za urafiki,,urafiki wa kutunziana siri
unamwita kunogesha urafiki
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Lady doctor best
mekumisije? Hafu huyo rafikio mpenzi ni moja kati ya aina tano za urafiki,,urafiki wa kutunziana siri
unamwita kunogesha urafiki
^^

nimekumis pia best yangu, halafu nikuambie kitu best... mie rafiki yangu mkubwa ninae mpa siri zangu ni my dear mama, hao wengine ni stori tu na maongezi ya hapa na pale.
 
Last edited by a moderator:
nimekumis pia best yangu, halafu nikuambie kitu best... mie rafiki yangu mkubwa ninae mpa siri zangu ni my dear mama, hao wengine ni stori tu na maongezi ya hapa na pale.

^^
Ndio maana una akili.
^^
 
Mpenzi
Mtu ambae manfanya nae mambo pamoja mkishikiana bila kuwa na ajenda ya siri kti yenu,huyu sio lazima ihusishwe ngono

Mchumba
Huyu ni mtu wa jinsia tofauti na wewe ambae mmekubaliana baada ya muda fulani mtaoana na kuwa mke na mume!

Well said
 
Mkuu mi nahisi 'Mpenzi' ni uwanja mpana sana! Mke/Mume, rafiki, ndugu na hata Mchumba wanaingia ktk Upenzi!
But mchumba ni wapenzi wanaotambulika na wazazi na hasa BAADA YA KUTOLEANA MAHARI!

^^
Mchumba kwa maana ya asili yake,,ni mtu ambaye mnaishi kwa kupendana pasipo kushiriki tendo la ngono.
Mpenzi ni mtu ambaye aweza kuwa mchumba au mke ila mnashiriki tendo la ngono.
Kwa uelewa wangu wa graduation ya chekechea
^^
 
Back
Top Bottom