Kodi ni tozo linalotolewa baada ya kufanya biashara na kupata faida halafu asilimia fulani iliyowekwa ndio unalipa lakini Ushuru ni tozo unalotoa kabla hujapata faida, huangaliwa thamani ya kitu au mali hiyo na kulipia asilimia fulani ya gharama ya hiyo mali. Ni mtazamo na uzoefu wangu tu, nasubiri kukosolewa.