MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Profound mental retardation.lowassa ni sawa na nguruwe anayezaa watoto wake na kuwala mwenyewe.
Profound mental retardation.lowassa ni sawa na nguruwe anayezaa watoto wake na kuwala mwenyewe.
kajana ka nguveProfound mental retardation.
lowassa ni kweli haitaji promo,ana kazi ambazo alisimamia na akaekeleza,pinda au kikwete wana lipi la kuigwa mfano? uwezo wa wa jk hakupaswa hata kuwa mkuu wa wilaya sema aliingia madarakani kwa promo sn,angalia alivyoingia madarakani alishinda kwa zaidi ya 80pc,2010 alishinda kwa 61pc,kama angegombea 2015 angeshinda kwa pc ngapi?
Chakula cha Cameroon!kajana ka nguve
Hii issue si ya kwake na wewe unajua!kweli kabisa sema tu ishu ya richmond imemwaribia.
anataka kutuambia kuwa lowasa anafaa kuwa rais wa TzMkuu, hujaelewa unataka kutuambia nini.
kaguve kethovie mshushuChakula cha Cameroon!
ni kweli process yoyote na hasa ya kuendesha nchi inahitaji maamuzi. Inabidi mtawala almost masaa 22 kati ya 24 ya siku (zidisha mara miaka anayokuwa madarakani) awe katika position ya kutoa maamuzi.nakubaliana nawewe kuwa lowassa ni jembe, mtu mmoja kufanya maamuzi magumu ya kuibia Watanzania mabilioni ya pesa na kutuacha na njaa kali ni maamuzi yanayohitaji mtu mwenye roho ngumu kama paka
kwanini akubali kubambikiziwa,?!Hii issue si ya kwake na wewe unajua!
kweli kabisa sema tu ishu ya richmond imemwaribia.
enjo usinielewe vibaya dadangu, sina nia ya kumfanyia promo LOWASSA, sidhani kama anahitaji promo yoyote. Hapa tunajadili utendaji tukihusisha na maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa!!
Haihitajiki promo yoyote au kumbeba mwanao aliyefaulu kwa kiwango cha divisheni wani, ila yule wa div.IV lazima abebwe!!! PM Pinda ndio haswa anayehitaji promo kwa muonekano wake!!
Hahaha Lowasa hana haja ya promo ni mkali since long time hata kikwete anajua ndo maana akampa uwaziri mkuu
Kuhusu lowasa ni kweli huyu jamaa ni mwepesi sana wa kutoa maamuzi hata kama ni magumu bali yana manufaa.Ukiwafanyia tathmini ya haraka haraka, utagundua kwamba kila mmoja ana mapungufu yake!
Hata hivyo kwa uchache ni kuwa: JK ni mzito wa kuamua, mzito wa kutekeleza na mwepesi wa kusahau!
PM Pinda yeye ni mzuri katika kurudia rudia maamuzi yaliyotolewa JK na hivyo kumfanya awe kigeugeu kwa maamuzi yake mwenyewe, pia huonyesha tabasamu nyembamba pale anapotambulishwa na JK kama 'mtoto wa mkulima'!!
LOWASSA yeye ni mwepesi wa kuamua, na pia ni mwepesi wa kutekeleza maamuzi yake na maamuzi ya wakuu wake wa kazi. Fuatilia alipokuwa waziri chini ya Rais Mkapa, na baadaye akiwa waziri mkuu chini ya JK!!
Ukiwafanyia tathmini ya haraka haraka, utagundua kwamba kila mmoja ana mapungufu yake!
Hata hivyo kwa uchache ni kuwa: JK ni mzito wa kuamua, mzito wa kutekeleza na mwepesi wa kusahau!
PM Pinda yeye ni mzuri katika kurudia rudia maamuzi yaliyotolewa JK na hivyo kumfanya awe kigeugeu kwa maamuzi yake mwenyewe, pia huonyesha tabasamu nyembamba pale anapotambulishwa na JK kama 'mtoto wa mkulima'!!
LOWASSA yeye ni mwepesi wa kuamua, na pia ni mwepesi wa kutekeleza maamuzi yake na maamuzi ya wakuu wake wa kazi. Fuatilia alipokuwa waziri chini ya Rais Mkapa, na baadaye akiwa waziri mkuu chini ya JK!!
Ukiwafanyia tathmini ya haraka haraka, utagundua kwamba kila mmoja ana mapungufu yake!
Hata hivyo kwa uchache ni kuwa: JK ni mzito wa kuamua, mzito wa kutekeleza na mwepesi wa kusahau!
PM Pinda yeye ni mzuri katika kurudia rudia maamuzi yaliyotolewa JK na hivyo kumfanya awe kigeugeu kwa maamuzi yake mwenyewe, pia huonyesha tabasamu nyembamba pale anapotambulishwa na JK kama 'mtoto wa mkulima'!!
LOWASSA yeye ni mwepesi wa kuamua, na pia ni mwepesi wa kutekeleza maamuzi yake na maamuzi ya wakuu wake wa kazi. Fuatilia alipokuwa waziri chini ya Rais Mkapa, na baadaye akiwa waziri mkuu chini ya JK!!