malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,719
- 4,305
Wadau wa afya naomba tofauti ya hivi vipimo MRDT na BS
kuna wakati pia inatokea hyperparastemia au hata mutation za protein antigen kina HRP na aldolase inaleta false negative!MRDT inaweza endelea kuwa positive hadi wiki mbili au zaidi baada ya kutibiwa malaria coz zile antigens bado zipo kwa blood
GoodMRDT ni kwa ajili ya kuanza tiba haraka bila kuchelewa.
BS ni kwa ajili ya kuhakikisha uhakika wa matibabu na kujua ukubwa wa maambukizi.
Researches zilizofanyika tutumie mkuu tuone prevalence ya mutated hizo protein antigen kwa mazingira yetu kiasi Cha kuleta hizo false negative ....so far ni ngapi na imeonesha kwa kiasi Gani hiyo mutated plasmodium ?kuna wakati pia inatokea hyperparastemia au hata mutation za protein antigen kina HRP na aldolase inaleta false negative!
Kabisa ni vile tu research ikimalizika haitumiwi inatunzwa makabatini.Researches zilizofanyika tutumie mkuu tuone prevalence ya mutated hizo protein antigen kwa mazingira yetu kiasi Cha kuleta hizo false negative ....so far ni ngapi na imeonesha kwa kiasi Gani hiyo mutated plasmodium ?