Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,470
Pastor & Mrs Ikechukwu Lukeman
Pastor anatoka kwenye idol worshipers' home, yeye akaokoka akaoa.
Mke alikuwa mkorofi sana, hafanyi chochote hata kupika; kifupi alikuwa kama baba wa nyumba.
Unyumba akanyimwa kwa miaka zaidi ya mitatu. Ikafikia muda wakatengana.
Wakaenda SCOAN last week, ndipo lipepo lililokuwa ndani ya mke likajitaja (spiritual husband) na kusema jinsi gani lilivyokuwa linajaribu kuharibu ndoa yao. Wamerudi leo, kushukuru Mungu.
Familia no 2, wao walikuwa wanaishi mbali mbali, wakawa wanawasiliama kwa skype muda wote. Mke baada ya kuchat na mumewe, akawa anajitosheleza kwa kumasterbate huku akiangalia porno. Ikamuaffect kiasi kwamba hata affection kwa mumewe, mumewe naye akaanza kumuona mkewe kama mtu wa kawaida tu. Hadi kufikia hatua ya kutaka kutalikiana.
Wamepata derivelance nao wako okay.
Kwanini nimeleta humu, situation hizo ni very common ktk maisha yetu; lkn wengi hatujui the root cause. Tusiache kumuomba Mungu.
Jumapili njema!
Pastor anatoka kwenye idol worshipers' home, yeye akaokoka akaoa.
Mke alikuwa mkorofi sana, hafanyi chochote hata kupika; kifupi alikuwa kama baba wa nyumba.
Unyumba akanyimwa kwa miaka zaidi ya mitatu. Ikafikia muda wakatengana.
Wakaenda SCOAN last week, ndipo lipepo lililokuwa ndani ya mke likajitaja (spiritual husband) na kusema jinsi gani lilivyokuwa linajaribu kuharibu ndoa yao. Wamerudi leo, kushukuru Mungu.
Familia no 2, wao walikuwa wanaishi mbali mbali, wakawa wanawasiliama kwa skype muda wote. Mke baada ya kuchat na mumewe, akawa anajitosheleza kwa kumasterbate huku akiangalia porno. Ikamuaffect kiasi kwamba hata affection kwa mumewe, mumewe naye akaanza kumuona mkewe kama mtu wa kawaida tu. Hadi kufikia hatua ya kutaka kutalikiana.
Wamepata derivelance nao wako okay.
Kwanini nimeleta humu, situation hizo ni very common ktk maisha yetu; lkn wengi hatujui the root cause. Tusiache kumuomba Mungu.
Jumapili njema!