Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
hivi kati ya O na 0 wanasema moja ni namba na nyingine ni herufi. Mi sasa sijui ndiye kilaza, hilo swali nimepewe leo kwenye asignment yangu ya chekechea na nimekosa jibu hadi sasa, atakayenisaidia nitampa ofa ya kuhuduria mahafali yangu ya vidudu!