toa tofauti

toa tofauti

Voice of Wisdom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
537
Reaction score
240
hivi kati ya O na 0 wanasema moja ni namba na nyingine ni herufi. Mi sasa sijui ndiye kilaza, hilo swali nimepewe leo kwenye asignment yangu ya chekechea na nimekosa jibu hadi sasa, atakayenisaidia nitampa ofa ya kuhuduria mahafali yangu ya vidudu!
 
umekosa O ni herufi na 0 ni namba

mfano nikisema 0 ni sifuri, je nitawezaje kuitetea hoja yako kwamba ni sifuri(namba) na si herufi?
Namaanisha ukikuta nimeandika 0 utajuaje ni herufi au namba?
 
Katika maandishi siku zote zinakua tofauti, kwa mfano unapotumia computer Zero/Sifuri hua inaonekana nyembamba na herufi ooo/"O" inakua pana!
 
walimu wa siku hizi, watoto wadogooo anawapa swali gumu hivyo!! pole mtoto mzuri.
 
Back
Top Bottom