Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Ulikuwa unampemda, ulikuwa na malengo nae na ulitamani sana siku moja aje kuwa mke/Mume wa maisha yako,ulijitolea kwa kila kitu, ulipoteza muda wako ili tu kila siku umuone akiwa na Furaha,
lakini sasa imekuwa tofauti yule uliyemtegemea siyo tena yule aliye mbele yako,huyu wa sasa ni mwingine wala hukuwaza kwamba ipo siku utakutana nae,
"TOA SABABU KWA NINI ULIACHANA NAE"
CC Zero IQ
lakini sasa imekuwa tofauti yule uliyemtegemea siyo tena yule aliye mbele yako,huyu wa sasa ni mwingine wala hukuwaza kwamba ipo siku utakutana nae,
"TOA SABABU KWA NINI ULIACHANA NAE"
CC Zero IQ
