To You Hon Zitto Kabwe, MP

Hodi mlangoni wana JF naomba kuingia jamvini,
nafikiri mmeshanikaribisha naanza kwanza na Salaam kisha nasema Hon. Zitto ni mwana mapinduzi halisi asiyejua kuutumia uanamapinduzi wake is like un-guided missile. Mkiniomba kufafanua nitafafanua.

Mbona kwenye avatar yako kuna mtu kashika bunduki??

oka, karibu JF

Fafanua basi maneno yako! ila please fafanua bila ushabiki, ushabiki huwafanya watu kuwa vipofu!
karibu
 
Huyo ndiye Zitto mbaye Umar Ulyas anamfahamu vyema
 
Mbona kwenye avatar yako kuna mtu kashika bunduki??

oka, karibu JF

Waberoya
usihofu sana kwenye avatar yangu hiyo bunduki ni ishara ya amani tu hata UN wakienda kulinda amani Somalia lazima wawe nayo ingawa wengine huwa wanasema they are not going to keep peace but to spread violence.
 
Huyo ndiye Zitto mbaye Umar Ulyas anamfahamu vyema


Unaweza kufafanua au kusema unachotaka kusema mhariri?

Zito wewe unamwonaje? na Chadema as a whole unakichukuliaje?
 

uwongo mtupu. Thubutu!!!!!!
Hizo ni ndoto za mchana kwa nchi kama tanzania labda huko ujerumani. Hapa kwetu bongo watu hawana hata elimu ya uraia ndio uwajaribishe siasa poa????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…