To Whom It May Concern

To Whom It May Concern

Mitandao yote ni majanga tu hao airtel wamepotezea 28000/ yangu toka mwezi wa sita mwaka jana mpaka leo
hiyo yako inaweza ikawa imepotea kwa bahati mbaya labda system imeteleza kidogo, ila hii yangu japo ni ndogo sana ila ni mtu mmoja tu ameamua kuizuia ili kunikomoa tu, maana anajua sina pa kulalamika. Anaitwa Neema Joseph.
Wapo watu wa namna hii wengi t katika nyadhifa mbalimbali na tunashindwa kuwapigia kelele maana hatujui wapi wa kuanzia. Kilichonikera sio hiyo buku tano bali katumia mabavu kunidhulumu. anajua siwezi kumshtaki maana hata kama ni kushtaki nitatakiwa kuishtaki Vodacom, sasa uishtaki Vodacom kwa sh 5000 tu? police watanishangaa, ila nitayapeleka malalamiko yangu TCRA,
 
Back
Top Bottom