MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Nimejaribu kufuatilia kila koma watu wanalalamika tu, ni wakulima,ni watumishi wa umma, ni wafugaji, ni wanafunzi.
Sasa ni swali la kujiuliza, je, na hawa nao walikua mafisadi? Sasa wafugaji,wakulima na wanafunzi nao wana kosa gani mpaka kama mashetani?
Sasa ni swali la kujiuliza, je, na hawa nao walikua mafisadi? Sasa wafugaji,wakulima na wanafunzi nao wana kosa gani mpaka kama mashetani?